Mm kama
am 4 real Sina mrengo wowote wa kisiasa
Napendekeza hao WANAWAKE wa chadema wakiandamana kamanda wambura awakamate na watandikwe bakora 12 matakoni......
Nasema ivyo kwasabb Kuna mambo mengi ya msingi kuishinikiza serikali yetu kuchukua maamuzi kuliko hili la COVID 19 bungeni...Bora wangekua wanashinikiza serikali kuingilia kati mfumuko wa bei......hata hili nalo mama analifanyia kazi...
binafsi siitaji maandamano maana ni kichaka Cha machafuko na uovu
am 4 real sioni tija ya maandamano haya naomba Mh.mbowe awape amri hao wa mama wa CHADEMA wakae Kwa kutulia....
Quote from Mr. No Limit 🤬 CIG anatoa report za wakubwa.....Sio report za wizi wa box 3 za chaki.....