Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wivu gani wakati sheria imevunjwa kwenye chombo cha kutunga sheria.wivu tu
Ngoja Tum tag ErythrocyteKwani Erythrocyte anasemaje?
Acha ufalaWaandamane Moshi Mjini si Dar.
Ruzukuπ€Hela za ruzuku hazijatosha
Cc.kamanda wamburaWaandamane Moshi Mjini si Dar.
Technic knockoutWivu gani wakati sheria imevunjwa kwenye chombo cha kutunga sheria.
Kwaio ni ku opt violence πππ€Inategemea mazingira
Suala la covid-19 diplomacy imeshindwa kitambo sana
Kamanda MurotoKwaio ni ku opt violence πππ€
Kuna kamanda aliwai SEMA watu watapigwa mpaka wachakae
Hii inaitwa mwanaukome
bavicha Dom hiyoWap iyo..
Unataka aseme nini ?Kwani Erythrocyte anasemaje?
Wapo wanaodai wanachadema wamenunuliwa, Je, kwa mlolongo huo tunaweza sema sahihi(signature) imenunuliwa?Wivu gani wakati sheria imevunjwa kwenye chombo cha kutunga sheria.
Katibu mkuu wa CHADEMA alishaliweka bayana swala hilo kuwa ni forgery na kamuandikia Spika wa Bunge la CCM hizi siasa mnazobwabwaja humu ni za kitoto sana.Wapo wanaodai wanachadema wamenunuliwa, Je, kwa mlolongo huo tunaweza sema sahihi(signature) imenunuliwa?