BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

Miaka 4.

Ni wakati sasa tujitafakari wabunge hawa wasio na chama wamo bungeni na wanalipwa mshahara na posho kwa pesa za umma.

Muda ni mwalimu mzuri hatimaye tumejua kumbe ugumu umeongezeka kwa sababu ni wake za viongozi wa Chadema.

Sasa ni wakati wa Mnyika kuja tena kusema kweli ile saini haikuwa yake kweli na hawa wabunge ni wako kule kinyume na sheria na yeye hahusiki hasa chama kinavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…