BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

Si walisema hawatapeleka wabunge wowote na hawautambui uchaguzi sasa nini kinawawasha mpaka hao bavicha kujipeleka bungeni
 
Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .

Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.

BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.

Chanzo: ITV habari
Kwani zile nafasi wao chadema wanazitambua
 
Yes ili tujue msimamo wa Rais kuhusu wabubge wa COVID19 ni upi?
 
Chadema hawaishiwi sarakasi si walisema hawautambui uchaguzi wa 2020.
 
Haya maandamano nadhani yamechelewa na labda yangefaa zaidi mwezi Nov mwaka 2020.

Hii approach kwa sasa sio sahihi na ni bora turudi kwenye basics: Kwanini CHADEMA wasiteue wabunge 19 na kupeleka taarifa ofisi za NEC kwa kuwa wale “walifoji” nyaraka na kimsingi hawatambuliki?

Kwanini rufaa ya akina Mdee haisikilizwi na Baraza Kuu kubariki kutimuliwa kwao? Hivi kipi ni rahisi zaidi on paper kati ya kuratibu maandamano mpaka Bungeni au kuitisha hilo Baraza?
Ilo Baraza tutafika 2025 halijakaa kusikikiliza Rufaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakitandikwa mitama utasikia "Mama yetu Rais Samia sisi ni wanawake wenzako tunanyanyaswa tusaidie mama" upuuzi mtupu
Unasumbuliwa na ugaidi wa Jpm ndugu yangu. Maandamano ni haki ya kikatiba sema jpm aliharibu mentaliti yako. Unadhani kuwa maandamano ya uhuni kumbu kumbe ni njia sahihi
 
Unasumbuliwa na ugaidi wa Jpm ndugu yangu. Maandamano ni haki ya kikatiba sema jpm aliharibu mentaliti yako. Unadhani kuwa maandamano ya uhuni kumbu kumbe ni njia sahihi
nitake radhi,siharibiwi mentaliti na "washamba"
 
Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .

Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.

BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.

Chanzo: ITV habari
Hii sasa ni fujo. Halafu wakikamatwa na kuwekwa ndani watasema wanaonewa!!! Huu ni upuuzi!!!!
 
Na lawama atabebeshwa Ndugai. We need to take responsibility for our actions and avoid blaming others for things that are happening/not happening to us
Kuna mtu alisema hawawezi kuitisha kikao cha baraza kuu kujadili wasaliti.
 
Ni yeye"
emoji23.png
😀😀Nimerudi
 
Back
Top Bottom