Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Huenda ikawa pia ni Litmus Test kwa utawala wa Mheshimiwa Mama Yetu Samia Suluhu Hassan.Wajiandae kuchakazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ikawa pia ni Litmus Test kwa utawala wa Mheshimiwa Mama Yetu Samia Suluhu Hassan.Wajiandae kuchakazwa
KAMANDA MUROTO ANAWASUBIRI.BAWACHA hawatakagi ujinga!
Ngoja tuone
Kwani zile nafasi wao chadema wanazitambuaBawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .
Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.
BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.
Chanzo: ITV habari
Wakikutana na amanda muroto kila mtu anapotea na njia yakeBAWACHA hawatakagi ujinga!
Ilo Baraza tutafika 2025 halijakaa kusikikiliza RufaaHaya maandamano nadhani yamechelewa na labda yangefaa zaidi mwezi Nov mwaka 2020.
Hii approach kwa sasa sio sahihi na ni bora turudi kwenye basics: Kwanini CHADEMA wasiteue wabunge 19 na kupeleka taarifa ofisi za NEC kwa kuwa wale “walifoji” nyaraka na kimsingi hawatambuliki?
Kwanini rufaa ya akina Mdee haisikilizwi na Baraza Kuu kubariki kutimuliwa kwao? Hivi kipi ni rahisi zaidi on paper kati ya kuratibu maandamano mpaka Bungeni au kuitisha hilo Baraza?
Na lawama atabebeshwa Ndugai. We need to take responsibility for our actions and avoid blaming others for things that are happening/not happening to us
Unasumbuliwa na ugaidi wa Jpm ndugu yangu. Maandamano ni haki ya kikatiba sema jpm aliharibu mentaliti yako. Unadhani kuwa maandamano ya uhuni kumbu kumbe ni njia sahihiWakitandikwa mitama utasikia "Mama yetu Rais Samia sisi ni wanawake wenzako tunanyanyaswa tusaidie mama" upuuzi mtupu
nitake radhi,siharibiwi mentaliti na "washamba"Unasumbuliwa na ugaidi wa Jpm ndugu yangu. Maandamano ni haki ya kikatiba sema jpm aliharibu mentaliti yako. Unadhani kuwa maandamano ya uhuni kumbu kumbe ni njia sahihi
Hii sasa ni fujo. Halafu wakikamatwa na kuwekwa ndani watasema wanaonewa!!! Huu ni upuuzi!!!!Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .
Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.
BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.
Chanzo: ITV habari
Kuna mtu alisema hawawezi kuitisha kikao cha baraza kuu kujadili wasaliti.Na lawama atabebeshwa Ndugai. We need to take responsibility for our actions and avoid blaming others for things that are happening/not happening to us
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Moja ya kazi ngumu na ya kuchosha kichwa ni kuwaelewa wanaharakati wa chadema
Kamanda upo! Nilikumiss
Mimi nilikumiss zaidi ndugu yangu.Kamanda upo! Nilikumiss
😀😀NimerudiNi yeye"![]()