BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .

Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.

BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.

Chanzo: ITV habari
kwa nini sasa?
 
Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .

Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.

BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.

Chanzo: ITV habari
Tena tunataka Ndugai awapokee na kuwakaribisha Bungeni maana hawa wenzake kama alivyoutangazia umma juzi!!,
 
Kama wanajielewa wafanye maandamano kwenda ofisi yao kuu pale ufipa kushinikiza uongozi wa juu wa chama kuchukua hatua la tuwahesabu kuwa wana chuki na wivu kwa wanawake wenzao.

Isitoshe kumekuwa na matumizi yasiyo halali ya ruzuku, lakini hawakuchukua hatua kama hiyo ya kuandamana kudai maelezo.

Hakika jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.
Asiyekujua anaweza kuhisi huna matatizo ya akili
 
Bawacha wamepanga kwenda Bungeni Dodoma tarehe 10/05/2021 kudai nafasi zao 19 za Ubunge zinazokaliwa kwa mabavu na akina Halima Mdee na wenzake .

Mwenyekiti wa Bawacha wilaya ya Chato bi Husna amesema maandamano yao jijini Dodoma kuelekea Bungeni hayatakuwa na kikomo hadi suluhisho lipatikane.

BAWACHA wamesema safari yao ni ya amani.

Chanzo: ITV habari
nina imani na Husna Saidi kazi iendelee
 
Hawa BAWACHA, njaa itawaua! Watafute wanaume wa kuwaoa wawasitiri na dhiki ndogo ndogo waache kutia aibu.
Hata kina Mdee wakiondolewa kwenye hizo nafasi, CHADEMA haitokuwa na right ya kupeleka viti maalum wengine kwa kuwa wataonekana kuwa hawakupeleka nominations within a reasonable time; kitu kinachoashiria kuwa wame forfeit their rights.

Wivu unawasumbua sana
 
Njaa imekuwa kali sana eeeh.si mlisema hamuutambui uchaguzi.mkauita uchafuzi mkuu?leo mnautambua?mwacheni mdee na wenzie wale bata.
 
Ni mambo kama haya ndiyo yanaongeza msongamano wa mahabusu.
Ni kosa la John Mnyika. Anajua hasira mbaya za Spika, lakini anataka kuwaruhusu kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom