BAWACHA kuwapeleka Mahakamani wabunge 19 waliofutwa uanachama CHADEMA

BAWACHA kuwapeleka Mahakamani wabunge 19 waliofutwa uanachama CHADEMA

Lilikuwa ni jibu sahihi kwa mtazamo wangu.
Barua ya kuwateuwa kama ilithibitika wameforge, basi adhabu ya kuwafukuza ilikuwa sahihi kuliko kwenda mahakamani. Ni adhabu ambayo kisheria iliwavua vyeo vyao vyote ikiwepo na huo ubunge.
Barua ya kuwateua - CHADEMA wanadai ni forged, Bunge (na NEC) hawaamini hilo. Wao wanasema ni politiking tu wanafanya CHADEMA ili kuwahadaa wanachama wao.

Kwenda Mahakamani ndio solution. Hatimaye BAWACHA wamelitambua hilo. Waungwe mkono.
 
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.
Mi
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.
Mimi nadhani pia Ofisi ya Bunge ina kesi ya kuijibu Kwa Matumizi mabaya ya Fedha za umma
 
Si mmeshawafukuza uanachama mnahangaika nao wa nini?.
Mimi nilidhani mtafungua kesi za kupiga uchaguzi mkuu.
 
Kuwalipa Wawakilishi wasio na dhamana ya Chama chochote cha siasa Kwa kutumia Fedha za umma sidhani kama ni Sawa, labda Tu Kwa Matumizi mabaya ya madaraka inawezekana
 
Confused somehow, hao wanawake walishafukuzwa lakini Chadema nao kuna mambo siwaelewi, uchaguzi wa Bawacha kujaza hizo nafasi zao utafanyika lini? zile rufaa za hao wanawake nazo zitasikilizwa lini?

Hao wanawake sasa hivi wamebakiwa na defence moja tu ya tumekata rufaa, na hii defence japo ni potofu ndio inayotumiwa mpaka na speaker kule bungeni, sijui kwanini Chadema hawataki kuumaliza huu mchezo.
Mkuu kufukuzwa tu tayari kunawaondolea sifa ya kukaa Bungeni, na issue ya kukata rufaa ni kitu kingine.

Kwanini wabunge hao wanakata rufaa?, jibu jepesi ni kuwa wanatetea uanachama wao na nafasi zao walizopoteza ndani ya chama chao!. Hivyo ina maana kuwa si wanachama.
 
Hizi stori za kupelekana mahakamani bado zipo tu?
 
Kuna jambo halieleweki hapa.Kwa nini Bawacha waseme wanakusudia kupeleka mahakamani sasa baada ya Naibu Spika kusema Bunge halina taarifa.Kwa nini hawakufanya hivyo mapema?
 
Hapa yule aliye wakingia Kifua ana Kinga ya Kushtakiwa!
Nyie tena Ishakula kwenyu[emoji24][emoji24]
 
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.

Hamuaminiki ny8e pia...toka nov hii ishu ingekua mmemalizana nayo...binafsi siwaamini kbs kwasasa...muda huo wa kuandika humu mngekua mshafungua kesi...yaan kipindi Magu anakata roho hukumu ilikua iwe imeshatoka
 
Kwani katiba imempa mamlaka bwana chupika kuteua wabunge 19! anafunika hadi mhimili uliojichimbia kwenda chini zaidi ambao wenyewe una nafasi 10 pekee....
 
Ccm watafanya uchaguzi mwezi huu mwishoni na nafasi ni ya Mama Samia. ila kwa bawacha wameitisha uchaguzi tatizo nafasi ya mwenyekiti wameweka kaimu mwenyekiti sio mwenyekiti kamili
Mkuu tambua kuwa huo sio uchaguzi bali CCM inakwenda kumpa rasmi Mh. Mama Samia UWENYEKITI kama ilivyozoeleka maana uchaguzi ni process (kutangaza nafasi, kuchukua na kujaza fomu, kushindanisha wagombe n.k) Hivyo ni tofauti na CHADEMA
 
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.

Kuna mambo mengi ambayo sisi hatuyajui. Mwanzoni uongozin wa CDM walikuja very strongly wakidai kuwa barua iliyokwenda kwa spika kuwatambulisha wabunge wa viti maalum ni ya kugushi na kwamba wangekwenda mahakamani ili aliyegushi atiwe hatiani. Swali la kujiuliza ni kitu gani kilikwamisha kuikana hiyo barua kwa kuthibitisha ni ya kugushi? Inawezekana hiyo barua ilitoka kwa kiongozi ambaye alibadilika sura na kuongoza zoezi la kuwafukuza uanachama.
 
kisha rudi usome ulichoquote mwanzoni. unajichanganya mkuu
Mkuu tambua kuwa huo sio uchaguzi bali CCM inakwenda kumpa rasmi Mh. Mama Samia UWENYEKITI kama ilivyozoeleka maana uchaguzi ni process (kutangaza nafasi, kuchukua na kujaza fomu, kushindanisha wagombe n.k) Hivyo ni tofauti na CHADEMA
 
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.
Mimi kuna kitu sielewi. Siku ile Spike alisoma barua ya Mwenyrkit8 wa Uchaguzi ikiwa na majina yao wakaapa, whatsziss?
 
Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) limesema litakwenda mahakamani kufungua kesi iwapo wanawake 19 waliofukuzwa katika chama hicho wataendelea kutambulika kama wabunge wa Chadema.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Jumamosi Aprili 24, 2021 mweka hazina wa Bawacha, Catherine Ruge amesema watachukua hatua hiyo iwapo wabunge hao wataendelea kuwepo bungeni na kwamba wapo tayari kuuthibitishia umma kuwa walifukuzwa Chadema.

Amesema wanamtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kujitokeza hadharani kuwaeleza Watanzania kama kweli ofisi ya Bunge haikupokea uthibitisho wa Chadema wabunge hao kufukuzwa uanachama.

"Hatutaendelea kuona katiba inaendelea kuvunjwa kwani ofisi ya Bunge inafahamu kwamba wabunge hao wamepoteza sifa za kuwa wabunge."

"Ni jambo la dharau kuona chama kinasema kimewavua ubunge wanachama wao eti naibu spika anakataa na kusema hana taarifa..., na si kweli kama Bunge halina taarifa ya kuvuliwa uanachama hao wanaoitwa wabunge wa Chadema hii ni dharau kubwa," amesema Catherine.

Then yy ndio atapelekwa bungeni au
 
The stage is set for the trial of judicial independence -mahakama itatenda haki?
 
Back
Top Bottom