BAWACHA: Spika Ndugai kuita barua rasmi kipeperushi ni kiburi cha madaraka. Amekuwa Mtetezi wa wanawake kuanzia lini?

Hotuba ya Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu
Yaani Chadema hopeless kabisa.Hakina msemaji ? yaani eti hotuba ya mjumbe wa kamati kuu

Duni alikuwa sahihi aliposema Chadema kila mtu ana sharubu

Kila mtu anajiibukia tu na kutoa hotuba
 
Hao ndio Sasa ma super women

Sio wale wengine eti ukiwa single mazaz automatically Ni super women [emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Absolute power corrupts absolutely. Hapo ndo alipofika Ndugai. Yuko kwenye rebellious corner ya madaraka kama akina Nebkadreza ambao walikuwa wanadharau kila order haha ya Mungu mwenyewe!!!
 
Nionavyo mimi, kukata rufaa kwa waathiriwa ni ushahidi kuwa walishafukuzwa uanachama na wamekosa sifa ya kuendelea kuwa wabunge wa bunge la JMT, kwa mujibu wa Katiba.

Rufaa maana yake ni 1) ama ku'restore' haki iliyokiukwa kwa upande wa waathiriwa 2) au ku'approve' uamuzi uliokwishafanyika kwa upande wa chama.

Mimi nadhani ukimya wa wabobezi wa sheria katika suala hili unatia shaka kubwa ya kuonyesha njia kunapojitokeza ukinzani wa jambo kama hili, hasa ambapo ukinzani wenyewe unatokana na tafsiri ya Katiba ya JMT.

Wabobezi wetu katika mambo ya sheria wameonyesha 'ostrich spirituality of burying the head in sand'.
 
Barua kutoka ktk chama husika unaita kipeperuushi?

Hiki kiburi cha madaraka ni ulafi wa kijinga kabisa.
 
Hivi wakiondolewa akina Halima ndio majina mengine yatatumwa rasmi NEC na Bungeni au?
 
Mimi nafikiri tofauti kidogo kama alivyosema Ndugai mwenywe haya mambo ni magumu saana, yaani yeye kapewa maelekezo na mwenda zake awaapishe wabunge hao 19 ,hakuwa na choice by then,angepinga agizo hilo muhimili mmoja usingeweza kufanya kazi na muhimili mwengine ,sasa angefanyeje ? ilibidi akubali kwa uhai wa Taifa kwa wakati huo...kwa sasa ameshauri wasililizwe kwenye kati kuu ya chadema , Barua iambatanishwe na muhutasri wa kikao hicho then awatimue thats all...mwacheni mzee spika kazi ya uongozi ni ngumu ....
 
Kile ni kipeperushi tu. Jitahidini kuwa na elimu ya utumani wa nyaraka zilizokamilika.
 
Huyu wacha apambane na Balaza la wanawake wa CDM ndiyo saizi yake!

Akipambana nao halafu inakuwaje? Kina Halima wanavuliwa Ubunge? Au ndiyo itakuwa kupaka rangi upepo tu.
 
Ndugai jibu hoja toka kwa BAWACHA kwamba Je huo urafiki wako na wao wa namna ya Kharidi na Filimoni umeanza lini?
 
Sijui wewe unauona uongozi wa aina gani?
Kupewa amri kutii mambo ambayo siyo haki, siyo sheria na siyo hata kanuni za kazi yako, ukatii, huo hauwezi kuwa uongozi.
Mtu asiyeamini ktk highest good of anything hafai kuongoza.
Mie ningemheshimu kama kiongozi kwa kukataa shinikizo kama lilikuwepo kulingana na unavyosema.
Kumbuka uzuri wa juu wa mtu yeyote ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya ukweli unaouamini.
The highest good of any individual is to die for what he/she believes to be true.
You are not ready to die for the principles you believe In, you are definitely unfit for Leadership.
 
Kweli Jamaa anaringa utadhani yuko mbinguni
Anamtupia Nape madongo halafu anamwambia haina haja ya kujieleza
Hapo hapo anamwombea Msamaha....
labda ule unabii unaweza ukatimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…