Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Pole.
Mzizimkavu
Mzizimkavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba na mimi unitumie pm plsNingekutumia picha ya dawa mama yangu alikuwa anatibia watu wamepona sema daaaah kuna changamoto inanizuia siwezi kutoka nje kwenda kutafuta hayo majani lakini ipo siku nitakutumia kama utakuwa hujapata
Unataka kuua figo zake na ini lake miaka michache ijayo
Ndio . Labda kama unafahamu matumizi yake kwa usahihi. Bila hivyo itaondoka na figo na inniKwanini mkuu Alovera ni Sumu?
Ndio . Labda kama unafahamu matumizi yake kwa usahihi. Bila hivyo itaondoka na figo na inni
Njoo inboxMsaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Ina maana Dr anakaguaje yaani maana wanasema ipo sehemu nyeti..
SahihiNdiyo, ni kweli ipo sehemu nyeti lakini ni lazima ikaguliwe. Huwezi tu kupewa dawa bila kufanyiwa uchunguzi vizuri.
Vinginevyo hakuna sehemu nyeti linapokuja suala la maradhi.
Habat Sawda ikitamkwa kiarabu inasikika kama vile ni dawa fulani ya ajabu. Ni mbegu tu.Mkuu pole sana.
Sijajua upo mkoa gani ila nenda kwenye yale maduka ya dawa za kisuni kaulize dawa inaitwa halbart soda sijui kama nimepatia kuandika ila itakusaidia.
Kwa Dar haya maduka yapo karibu na misikiti yote mikubwa kama manyema ule pale karibu na lumumba! Kisutu na idrisa
Ni vile Kajisahau tu kuwa ana multiple I'd, kwahiyo hiyo ni I'd yake nyingine mkuu 😎Kwa nini unamjibia wakati sijakuuliza wewe na mwenyewe yupo?
Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
www.instagram.com
Piga simu nikuelekeze dawa bure 0742856288Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Tafuta dawa za kienyejiMsaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Mkuu pole kw ahayo maradhi ya bawasiri yanakutia pia umasikini kwani ukiw anayo hayo maradhi unakuw amasikini wakutupwa nitafute mimi kw awakti wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Anamponza 😂😂😂 alovera bora aitie huko huko shimoni kwenye iyo bawasiliUnataka kuua figo zake na ini lake miaka michache ijayo