Baye Fall; Waislamu wanaoamini katika kufanya kazi zaidi kama ibada muhimu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huko Sengal na Gambia kuna tawi la imani ya Kiisalmu lenye umaarafu na ushawaishi mkubwa maeneo hayo linaloitwa "Baye Fall" ambalo lilianza zaidi ya Karne moja iliyopita.

Hawa Waislamu wa Baye Fall walichipukia kutoka kwa sheikh mmoja aitwaye Ibrahima Fall wa mrengo wa Kisufi miaka ya 1880's.

Baye Fall wao tofauti na Waislamu wengine wengi wanafuga rasta kama Rastafarians, swala tano kwao sio muhimu na hawafungi Ramadhani. Msingi mkubwa wa imani yao ni kufanya kazi tu na kusaidia wengine wasiojiweza.
 
Ni kitu kizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…