Bayern Munich wamekabwa huko walidhani ni mterenko

Samahan jaman muwe na huruma mambo ya kuanza kikumbushana misiba siyo zuri
Ikiwa mm kama shabiki wa Barcelona naomba hili swala la kufungwa goal 8 tuache kulizungumzia kidogo.., kunamengi ya kujadil tofauti na hlo
 
Samahan jaman muwe na huruma mambo ya kuanza kikumbushana misiba siyo zuri
Ikiwa mm kama shabiki wa Barcelona naomba hili swala la kufungwa goal 8 tuache kulizungumzia kidogo.., kunamengi ya kujadil tofauti na hlo
Hahahahaha pole mkuu hiyoo ndo bayn
 
PSG vs Bayern, itaamuliwa na viungo,maana timu zote zinafana kwa forward nzuri na beki mbovu
 
Lete mrejesho boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…