Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210


WanaJF Inakuwaje!

Bayern Munich wanabahati na kushukuru beki matata na Machachari raia wa ufaransa mwenye asili ya Cameroun Samuel Umtiti hakuwepo uwanjani dhidi yao kwenye robo fainali ya Uefa championship league.

Umtiti ambaye hakusafiri na wenzake Lisbon kwa kukutwa na Corona nakujiself quarantine imeisababishia Messi na wenzake kuaibishwa kwa kunyukwa magoli 8-2 huku Cotinho waliyemkataa akifunga mawili.

Tangu awali 'Bayan' walipogundua Umtiti hatakuwepo walifurahi sana nakujua mwendo utakuwa Kitonga.

Cha kuhuzunisha zaidi pengo la Umtiti limeonekana Zahir kwa Akina Messi na Suarez, Vidal na Pique kucheza Fyongo.

Mkongwe Sergio Bisquet ni kama uzee umempoteza.

Tunamuombea Umtiti apone haraka sana arudi kuikomboa Barca msimu ujao.

JF Local and International Sports Analyst

Masters
 

Mkuu, wachezaji wa Barcelona wakiongozwa na Messi wapo kwemye mgomo na hawamtaki kocha.

Pili, matatizo ya barceona si ya leo yalianza alipoondoka Pep Guadiola.

Mauricio Pochetino ndie kocha ajae wa Barca.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…