Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

View attachment 1537467

WanaJF Inakuwaje!

Bayern Munich wanabahati na kushukuru beki matata na Machachari raia wa ufaransa mwenye asili ya Cameroun Samuel Umtiti hakuwepo uwanjani dhidi yao kwenye robo fainali ya Uefa championship league.

Umtiti ambaye hakusafiri na wenzake Lisbon kwa kukutwa na Corona nakujiself quarantine imeisababishia Messi na wenzake kuaibishwa kwa kunyukwa magoli 8-2 huku Cotinho waliyemkataa akifunga mawili.

Tangu awali 'Bayan' walipogundua Umtiti hatakuwepo walifurahi sana nakujua mwendo utakuwa Kitonga.

Cha kuhuzunisha zaidi pengo la Umtiti limeonekana Zahir kwa Akina Messi na Suarez, Vidal na Pique kucheza Fyongo.

Mkongwe Sergio Bisquet ni kama uzee umempoteza.

Tunamuombea Umtiti apone haraka sana arudi kuikomboa Barca msimu ujao.

JF Local and International Sports Analyst

Masters
Nashangaa sana Bayern inarudia kitendo kilekile cha kipigo kinachofanana kipindi cha kwanza vilevile cha pili .[emoji23] [emoji23]
Chelsea wapewe tuzo ya heshima maana walijitahidi sana kupunguza magoli.
 
Umtiti ana COVID 19 ila hata kama angekuwepo asingebadilisha matokeo.marehemu alikuwa na mdomo
 
Fedheha kubwa mi madrid, Barca walitutukana sana tulivyotolewa.. ila aibu nmeona mimi aisee
Fedheha ya karne[emoji2] bayern ni wajumbe aisee
[emoji38]
JamiiForums-802110883.jpg
 
Ila Si humu jamvini wanadai hawana kitu kwasababu Bundesliga hawana changamoto. Ila cha moto watakiona wakikutana na PSG fainali
Anayesubiri ushindi jioni kabisa ,chuma cha mjerumani kitakuwa kimeishazama kichwani mara tatu na mechi imeisha.
 
Mkuu, wachezaji wa Barcelona wakiongozwa na Messi wapo kwemye mgomo na hawamtaki kocha.

Pili, matatizo ya barceona si ya leo yalianza alipoondoka Pep Guadiola.

Mauricio Pochetino ndie kocha ajae wa Barca.
Uongooooo
 
Bavarians ni mkimbizo Amna cha kupumzika kwa wafuatiliaji Bayern miaka mingi robo fainal hazimsumbui shida yake yeye ni kwenye like kombe sijui analikosaje kizembe anatafuna mifupa migumu but mwishon anazingua ,ngoja tuone uefa hii time will tell
 
Kupata Vichekesho Kama hivi nafanyaje mkuu[emoji38]
nadhani umemjibu sahihi sana maana utadhani kaanza kuangalia mpira mwaka huu..kama aliona game ya man u na fc Copenhagen ndo atajua kuwa sisimizi na tembo nani mkubwa????thts Bayern aisee alipiga mwingi sana
 
man city kapigwa goli 3 na mpira kapigiwa yeye utasemaje na pale napo...???shame on u..tatizo tunatokaga na matokeo nyumbani ndo shida hyo
 
Zama Zao Zimekwisha....

Xavi Hernandez,Iniesta are no longer there......

Wawekeze Sana Katika La Masia....huenda bda ya miaka 10 wakapata Golden Boys Wengine....

Maisha ni NGAZI....
umezungumza mambo ya msingi sana ila nasikitika kwa kusema watakao kuelewa ni wachache
 
Back
Top Bottom