Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

Bayern wana bahati sana Umtiti hakucheza

Lakini nasikia wanamtaka Kluivert kuwa kocha

Ni mwaka jana tu alikuwa mkurugenzi wa Academy ya Barcelona lakini akaondoka na sasa ni mkurugenzi wa mpira wa PSG.

Sidhani kama atakubali kurudi Barca.

Pochetino anawafaa barcelona kwani akiwa talent spotter ataweza kukuza vipaji vya wachezaji wengine wapya.

Aliweza kazi hiyo alipokuwa Southampton na Tottenham ambapo aliweza kufanya project zake kwa kiasi kidogo cha fedha.

barcelona wanahitaji kujivua magamba na kuanza upya.
 
Mbona hata Boateng Uchochoro tu...!!

4 & 5 hapo ndio udhaifu Mkubwa wa Bayern..!(4&5 bado hawana Muunganiko mzuri).



Bayern hii Walau imenikumbusha Dortmund ya Klop 2013...Mwanzo Mwisho Mchaka-Mchaka, Huna pumzi kaa kando...

Ngoja nimtazame Flick kwa jicho la Tatu..
 
Kuna beki mmoja sijui siku hizi yupo wapi.. alikua madrid jina kama Sikosei ni PEPE.

Huyo jamaa ana kadi nyinyi nyekundu kuliko hata magoli ambayo ameyafunga katika maisha yake..

Alikua anakupiga kiatu unadondoka anakuja anakuongezea kingine hadi watu waje kukusaidia... Ramos haoni ndani pale..

Sasa siku kama ya jana angekuwepo upande wa barcelona... bayern lazima wangebaki 10 na barcelonan10..

Muller angekua amesha pigwa kiatu cha ugoko hadi azimie..[emoji1][emoji1]
 
Bayern imeshamfunga barcelona 7-0 . Tena barcelona yenye xavi, iniesta, messi, puyol na kocha akiwa pep guardiola .. sasa why imuogope umtiti sijui

Bayern huwa inamuweza barca mara nyingi tu

Kocha alikuwa Titto Villanova ni baada ya Guardiola kuondoka alimuachia yeye alikuwa kocha msaidizi enzi za Guardiola.R.I.P Titto.ila hata angekuwepo Guardiola pia hawa munich walikuwa vizuri.
 
Inaitwa kutesa kwa zamu kuna wakati hawa Barca walijiona mitume wa kugonga pasi kama wako mazoezini,Bayern ingawapa hata kumi nipate usingizi vizuri.
8-2 zinatosha sana mkuu, hata mi siwapendi Barca hasa baada ya ule upumbavu wao walipokuwa wakibebwa sana wakimzingira Refa pindi tu mchezaji wa timu pinzani kucheza faulo hata ya kawaida ili apewe kadi na ubaguzi wa rangi kwa akina Samuel Eto'o na wengineo.
 
IMG_3216.jpg
 
Back
Top Bottom