Leo Jioni naona so far kwenye hizi Nomination zilizofanyika Watakao kuwa nyavuni ni
Code(4) ,K1(6), Munya (7) and Yacob (7) in alphabetical order
Kwa kuwa K1 ni HoH huenda akaacha msimamo uwe hivyo hivyo MUNYA NA YACOB WAWE KWENYE KIKAANGO AMBAPO YACOB KAOMBA KAMA WANANCHI MNAPENDA ACHUKUE USHINDI MPIGIE KURA ABAKI LAA AMECHOKA KUKAA NDANI KWA MIEZI 3 PASIPO KUTOKA NA KITU NI BORA AKATOKA MAPEMA KAMA HATAKUWA MSHINDI...Hajui kama kuna barn hse kweli kilio tu
Lets Vote for Yacob to go into the Barn hse...our vote (TZ) ni muhimu kwa Utatu huu
All Nominations: Week 6
Its week 6 of Big Brother All Stars and below is how the housemates & barnmates have nominated this week:
1. Jen: Sheila & Munya
2. Uti: Code & Paloma
3. Sheila: Jen & Code
4. Meryl: Paloma & Code
5. Mwisho: Kaone & Code
6. Code: Sheila & Uti
7. Paloma: Mwisho & Munya
8. Kaone: Jen & Meryl
9. Munya: Sheila & Uti
Barnmates' Nominations
10. Yacob: Munya & Code
11. Tatiana: Mwisho & Uti
12. Hannington: Munya & Jen
13. Lerato: Munya & Jen
__________________________________
Highest Votes
------------------
Code: 5
Munya: 5
Jen: 4
__________________________________
Other Votes
------------------
Uti: 3
Sheila: 3
Mwisho: 2
Paloma: 2
Kaone: 1
Meryl: 1
Tusubiri leo usiku tuone Jen ataji-replace na nani maana naye hatabiriki!
Kama nakumbuka vyema Biggie thru IK aliwaambia wale wanaokwenda kwenye barn bado wapo kwenye game na watakaa kule kwa 9weeks then ni sie wadau tutakuwa na mamlaka ya kumrejesha mmoja mjengoni kwa kura zetu ikuona kama amefanya vyema akiwa ndani ya Barn.
Hii twist aliizungumza wakati anawapeleka Sammington kwenye Barn.Ila nachoona hakijafanyika ni UTI kwenda kwenye msiba wa babae au ameghairisha kwenda??
Mtu wangu hapa ni ndo nilipoona hii twist tamu ndo mana Mwisho aka Nomand ( according to yacob dissection on hse mate) hakutaka kuwa kwenye makundi ndio inayomsaidia na ukaribu wake kwa Merly..Mkuu asante sana, hii ilinipita. Sasa angalau nitakuwa ninaelewa ni nini kinaendelea. But on the other hand sioni kama ni fair kwa wale ambao bado wako ndani ya Jumba. Hawa walio kwenye Barn nimeona kama vile wana-nominate kwa kuwa-target watu fulani, kitu ambacho sioni kama fair.
Lakini pia twist hii ni nzuri kwa kuwa walio ndani ya Jumba watashindwa kuaminiana. Kama watu wako kwenye alliance moja, na wamekubaliana kuwa-target housemates fulani, halafu usiku BB anatangaza walio up for eviction, wanajikuta members wa alliance yao wako up for eviction, na kumbe kura nyingi zimetoka kwenye barn. Ikitokea hali hiyo basi kila mtu anakuwa hamwamini mwenzake, na huo ndio utakuwa mwanzo wa kwenda solo.
This is wot Jen did in the evening replacementSheila told Big Brother that the Big Brother All Stars Radio Task was exactly what she wanted because each Housemate will have their "15 minutes of fame". She was a bit disappointed with the 75 percent wager but respected Housemates' decision. Sheila felt that relationships in the House have broken down and the House was virtually divided into two groups. She mentioned that Paloma had been grumpy the whole day. She was of the opinion that Paloma was still upset over her altercation with Uti in the Kitchen, on Monday. With regard to nominations, Sheila speculated that Jen could have saved Code and replaced him with her.
Katika zile popularity vote za wk jana ..hapo chini ndo pananipa mashaka na Munya kuwa anatisha kwa kukubalika nje ya nchini kwake
Last week you voted to save Meryl, Munya or Yacob. This graph shows that Yacob had the least number of popularity votes, while Meryl had three and Munya had the most, at 12.
Munya was the most popular Housemate with 12 countries voting to save him, while Meryl had three countries voting to save her and Yacob received zero popularity votes
Therefore, because he received the fewest country votes, Yacob has been evicted.
Munya
The countries that voted to save Munya were: Botswana, Ethiopia, Ghana,
Malawi, Mozambique, Namibia, South Africa, Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Uganda and the Rest of Africa.
Meryl
The countries that voted to save Meryl were: Angola, Kenya and Nigeria.
Dah Shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiii wabongo tunaolewa duh haya ndo matunda ya BBA au mtoto kafwata security ya mpunga ( Mshiko) kwa Kelvin
Last Saturday (21 Aug) while at the Ogus Baba Laugh Goes On comedy club in Port Harcourt, Big Brother Revolution winner, Kevin Chuwang Pam and his lady friend, and Revolution contestant Elizabeth Gupta got up on stage and performed a track together.
Nigeria's biggest comedian, Ali Baba introduced the couple to the 2000 strong crowd. Once they'd finished performing "Una Pata Mambo" (Anything you want, right there you get it), Kevin went down on one knee and proposed to Elizabeth. He said he kept it simple and just asked: "Elizabeth, will you marry me".
The crowd started screaming: "say yes, say yes, say yes" and obviously she did. Kevin then says a woman broke free from the crowd, ran onto the stage and congratulated them both with a huge hug
Sheila and Meryl confided in each other about how nominations went and who could Jen have put up for possible Eviction. Sheila mentioned she had a hunch she was in danger of leaving the House.
She added that it didn't make sense for the Housemates to keep nominating Munya, every week, when he kept bouncing back. Sheila speculated on who could have nominated him because she didn't, neither did Uti, Mwisho nor Meryl. She was "surprised why the other guys hated Munya so much". Meryl agreed that "they genuinely don't like him".
What Sheila and Meryl are not aware of is that only 2 Housemates nominated Munya, Paloma and Jen. The rest of the Nominations came from the Barn. Hannington told Big Brother he thought Munya "acted like a fool around Jen" on Saturday Night, while Lerato "finds him annoying". Yacob vowed to take revenge on Munya for nominating him.