BBA au B.com ya Open University of Tanzania zikoje?

BBA au B.com ya Open University of Tanzania zikoje?

Kama uko dar ndo naweza kukushaur usome out bt ka uko mikoan,nackia kuna usumbufu sana kwa wa2 wa mikoan.
 
Kipekee nashukuru kwa michango yenu wadau wa elimu. Tatizo nililolipata ni kwamba watz wengi tunaamini elimu ni lazima iwe instant. Pia mimi naona ni muhimu sana mtu kufanya simple analysis ya chuo na kozi unayotaka kusoma, ili baadaye usijutie kwa kutokufanya maamuzi sahihi.
 
kk kwa uzoef wangu,(master level) tatizo la OuT ni kuchelewesha/ kupoteza result za wanafunzi. Hilo linaweza kukufanya urudie mitihan au course km litatokea na likakosa ufumbuz na kukufanya ku extend mda wako wa kusoma. Faida ya open ni masomo hayataingilia shughuli zako kwa kias kikubwa ambazo ulikuwa unazifanya hapo awal, eg biashara, kaz kulea nk. Mitihan unafanya on demand km upo fresh, ukiona koz fulan nondo hujazimeza vya kutosha pepa huombi. Zipo nying sana.

nimekuelewa kiongozi na nashukuru kwa ufafanuzi.
"Uwezo wa kusoma bila kuingiliana na shughuli zangu za kila siku"
hapo ni mojawapo ya vgezo vinavyonisukuma kusoma distance learning
 
Back
Top Bottom