Bba: Feza Kessy anagawa uroda kwa Oneil (oneza)

mkuu mbona umeipost hii thread asubuhi sana!inaelekea ulikuwa unatoka kula daku nn? huku unaangalia mambo ya danguroni BBA

 
Wizara ya utamaduni habari na michezo sijui ipo wap? Halafu kinachonishangaza wakiondoka wanapewa bendera ya Taifa na wakirudi wanakuwa wanavaa hivi hupewa na nani?

Wenzetu kama Ethiopia yule dada anasubiria kuingia jela tu.
 
Mleta news umekosea,yule dada sio mwakilishi wa Tanzania,bali ni mshiriki kutoka Tanzania.
 
I can see Chadema inakuongezea swaumu bi dada....
Siku ikifutwa.....????

chadema hoi bin taabani, haina mbele haina nyuma, Josefina kawafanya wote kuwa misukule yake.
 
Bavichaa tawajuwa tu, hata ukiwatia kwenye chupa watanyoosha kidole.

Vipi daku yako ulikula ipasavyo....Naona kwasasa umevimbiwa tuu unapumua kwa mdomo.....Haya mambo ya kubadilisha ratiba za milo ni hatari sana...
 
chadema hoi bin taabani, haina mbele haina nyuma, Josefina kawafanya wote kuwa misukule yake.

Mpaka nakuonea huruma...Unajikaza kuandika mashudu utafikiri gogo limekukwama chooni, unajikwamua kulitoa..
 
Mpaka nakuonea huruma...Unajikaza kuandika mashudu utafikiri gogo limekukwama chooni, unajikwamua kulitoa..

Kwa lipi zaidi? naona limewakwama nyinyi, msiokuwa na haya wala msiojuwa vibaya.
 
Vipi daku yako ulikula ipasavyo....Naona kwasasa umevimbiwa tuu unapumua kwa mdomo.....Haya mambo ya kubadilisha ratiba za milo ni hatari sana...

Kwaresima umeisahau?
 
Kuna member hapa huwa nawaheshimu sana kwingine,ila kwenye huu mchezo wa kishetani huwa nawadharau sana wanavyoshabikia upuuzi huu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…