BBC: Jinsi Rais Magufuli anavyopambana na corona na "mabeberu"

Mpumbavu sana huyo jamaa, kwanza ni bonge la kilaza, kasoma Umoja Sekondari nakumbuka ndo ilikuwa ikiburuza mkia, alikuwa anajua kuzungumza kidhungu tu lakini kichwani jeupe kabisa.
Wewe uliyesoma IST mbona una maisha mabovu
 
Tangu alipotangaza kuwa ataruhusu nikuoe nilishangaa sana kuwa mambuzi wanamtumia
Well thats is an invalid statement. Na yeye hanijui wala simjui. Wewe hunijui..
Kulikuwa kuna haja ya kunitukana indirect?
 
Wamuache ajenge misingi ya uchumi huyu Sammy yuko hapa dar aitwe ahijiwe
Ahojiwe kwa kipi wakati huo ndio uhuru wa press. Kwanza ndio inasaidia kumjua vizuri 'beberu' ili upigane nae na kushinda.
 
BBC wako sahihi usitufanye sisi wajinga hata matamko yake hayo ya kuongea mambo hayo yapo youtube ,tatizo mnaropoka halafu hamwangalii impacts za baadaye ya maneno yenu
 
Hiyo taarifa nmeiona! Kama wewe ni mwelewa wa mambo kama hiyo taarifa ikisomwa na waafrika wote Magufuli hata akigombea urais wa afrika anashinda.

Kikubwa mwandishi kaeleza pande zote mbili za Magufuli, ingawa upande wa mazuri ndio umebeba asilimia nyingi.
 
Mpumbavu sana huyo jamaa, kwanza ni bonge la kilaza, kasoma Umoja Sekondari nakumbuka ndo ilikuwa ikiburuza mkia, alikuwa anajua kuzungumza kidhungu tu lakini kichwani jeupe kabisa.
Sasa kuna shida gani ya serikali kumnyan'ganya uraia na kumfukuza huyo journalist?

Tunaweza pia kuwapiga marufuku waandishi wa habari; Zuhura Yunus, Salim Kikeke na wengineo wasiingie nchini, kwani tutakuwa tumekosea nini? Mbona Trump alimpiga punch mwandishi wa habari wa CNN, sembuse sisi hao wachochezi?

Nimesha sema mara nyingi kuwa idhaa hizi za kiswahili kutoka nje zina malengo ya kutuvuruga sisi ili tuharibu amani na umoja yetu. Wamejaribu njia zote wameshindwa na sasa wameona wawatumie watanzania wenzetu kutufarakanisha.

Kwa hali hiyo mimi nasema hapa kama Tanzania itakuja kuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe nasi tusisite kuwachukulia hatua hao watangazaji wote wa idhaa hizi za kiswahili kutoka nje na familia zao popote pale walipo duniani, kwani haitakuwa mbaya kuwadhuru wao, kwa vile wao nao lengo lao ni lile lile la kutumiwa na mabeberu kutuharibia sisi maisha yetu na yale ya vizazi vyetu kwa maslahi yao na ya mabeberu wao.

Hawa watu sio watu wa kuwachekea na kuwaona kama ni marafiki zetu, hapana na Nakataa kata kata, hawa watu popote pale walipo na lolote lile wanalo fikiria na kutenda ni jinsi gani watafanikiwa kutumaliza sisi. Lengo lao ni moja tu ni kuona Taifa la letu na watanzania wanahangamia.

Mimi nashangaa sana jinsi tunavyo sumbuka kuwasaka maadui zetu wakati maadui zetu tunaol nchini na ni ndugu zetu.

Tusiwakuze na kuwasifu hawa watu. Hawa hawako na sisi. Wameamua kushirikiana ma mabeberu kutuangamiza sisi.

Jambo jingine ni swala linalo huhusu hawa Kaim Balozi wa USA na Balozi wa UK. Kuna shida gani na wao kuwarudisha makwao ili serikali zao ziwalete wengine? Je, hiyo haiwezekani kwetu? Mbona Zambia ilmfukuza balozi wa Marekani kwa kuingilia mambo ya nchi yao, kwa nini sisi tushindwe? Kwani tuna pata faida gani kuwa na balozi hizo mbili?

Kama miaka yote hiyo hatukuwa na ubalozi wa Israeli na hatuja kosa kitu, kwanini tushindwe kuto kuwa ba balozi za UK na USA? Tutapungukiwa na nini? Kwani nchi yetu inawategemea sana waamerika na waingereza? Wana nini cha maana ambacho sisi hatuwezi pata nchi nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka kuifunga mdomo BBC kama mlivyofanya kwa vyombo vya habari vya ndani, nyie mnawaza kusifia muda wote.
 
Umemaliza kila kitu mkuu, kuna wakati naona bado hatujampata tuliyekuwa tunahitaji atunyooshe, JPM bado analea upuuzi mwingi inatakiwa aongeze volume wasikie vizuri.
 
Hivi hawa wanahabari wanaolipwa kwa us dollar huwa Wanafamilia zao na ndugu hapa nchini au wanauraia huko kwa mabosi wao.
 
Sammy Awami ndio wale wale. Anaandika kumfurahisha mwajiri wake.
 
Afrika hakuna kiongozi anayeweza ushindana na mabeberu tunajidanganya tu! Mfano vyombo vyote vya mawasiliano tunavyo tumia ni vyao, macamera yao huko angani yameelekezwa kwetu uchafu wote tunao fanya wanauona wakiamua kuuweka hadharani ni kiongozi gani atakuwa salama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…