BBC: Kanisani laomba msamaha kwa ubaguzi enzi za ukoloni dhidi ya weusi

BBC: Kanisani laomba msamaha kwa ubaguzi enzi za ukoloni dhidi ya weusi

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Mahakama ya Ubelgiji imeiamuru serikali ya nchi hiyo kuwalipa fidia wanawake watano waliochukuliwa kwa lazima kutoka katika familia zao katika enzi ya ukoloni wa Ubelgiji nchini DR Congo.

Wanawake hao, ambao sasa wana umri wa miaka 70, walichukuliwa kutoka kwa mama zao walipokuwa watoto wadogo na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima chini ya mpango wa serikali.

Mahakama imesema serikali ilikuwa na "mpango maalumu wa kuwatafuta na kuwateka nyara watoto waliozaliwa na mama mweusi na baba mzungu."

Siku ya Jumatatu majaji walisema, “ulikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu” na utekaji nyara huo ni "kitendo cha kinyama cha mateso."

Serikali ya Ubelgiji mwaka 2019 iliomba radhi rasmi kwa waathiriwa 20,000, waliotenganishwa kwa nguvu na familia zao nchini DR Congo, pamoja na Burundi na Rwanda.

DR Congo ilitawaliwa na Ubelgiji kama koloni kutoka 1908 hadi 1960.

Baba wengi wa kizungu walikataa kuwatambua watoto wao wa rangi mchanganyiko au kukiri kuwa ni watoto wao, na watoto hao pia hawakupokea utaifa wa Ubelgiji moja kwa moja.

Kwa hivyo walichukuliwa kwa nguvu na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima vinavyosimamiwa na Kanisa Katoliki, ambapo mara nyingi walipitia unyanyasaji.

2017, kanisa katoliki liliomba msamaha kwa waathiriwa. Na 2019, serikali ya Ubelgiji iliomba msamaha kwa kuhusika kwake.
 
Utawala wa kikoloni ulikuwa mzuri kuliko wa mwafrika.DRC Toka upate uhuru ni vita tu mwanzo mwisho.Ni sawa tu na Tanzania mateso ya kipindi Cha ukoloni ni Bora kuliko kipindi Cha Sasa.
 
Hizo propaganda za wakiristo wa jf watz. Ukiambiwa uwataje 3 walioliwa na wapi utashindwa
Muarab mweusi wa uyole umeshiba viazi mbatata na ugoro mixer togwa umeleta comment ya hovyo utafikiri hao waarab wanakutindua mtaro
 
Mahakama ya Ubelgiji imeiamuru serikali ya nchi hiyo kuwalipa fidia wanawake watano waliochukuliwa kwa lazima kutoka katika familia zao katika enzi ya ukoloni wa Ubelgiji nchini DR Congo.

Wanawake hao, ambao sasa wana umri wa miaka 70, walichukuliwa kutoka kwa mama zao walipokuwa watoto wadogo na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima chini ya mpango wa serikali.

Mahakama imesema serikali ilikuwa na "mpango maalumu wa kuwatafuta na kuwateka nyara watoto waliozaliwa na mama mweusi na baba mzungu."

Siku ya Jumatatu majaji walisema, “ulikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu” na utekaji nyara huo ni "kitendo cha kinyama cha mateso."

Serikali ya Ubelgiji mwaka 2019 iliomba radhi rasmi kwa waathiriwa 20,000, waliotenganishwa kwa nguvu na familia zao nchini DR Congo, pamoja na Burundi na Rwanda.

DR Congo ilitawaliwa na Ubelgiji kama koloni kutoka 1908 hadi 1960.

Baba wengi wa kizungu walikataa kuwatambua watoto wao wa rangi mchanganyiko au kukiri kuwa ni watoto wao, na watoto hao pia hawakupokea utaifa wa Ubelgiji moja kwa moja.

Kwa hivyo walichukuliwa kwa nguvu na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima vinavyosimamiwa na Kanisa Katoliki, ambapo mara nyingi walipitia unyanyasaji.

2017, kanisa katoliki liliomba msamaha kwa waathiriwa. Na 2019, serikali ya Ubelgiji iliomba msamaha kwa kuhusika kwake.
Bora kanisa wanatambua makosa yao.

Ni lini waarabu wataomba msamaha kwa biashara ya utumwa na mauaji?
 
Bora kanisa wanatambua makosa yao.

Ni lini waarabu wataomba msamaha kwa biashara ya utumwa na mauaji?
Ujue hawajafanya. Angalifanya Vatican wasingekubali wajitie doa wao, au America angalikuwa ashasema zamani na ushahidi tele, lkn sijasikia kama kuna msikiti wowote ulikuwa makazi ya watumwa, lkn makanisa mengi tu yapo ndani kuna mashimo ya watumwa
 
Hizo propaganda za wakiristo wa jf watz. Ukiambiwa uwataje 3 walioliwa na wapi utashindwa
USije ukaona hiy video quality uadhani labda ni maeneo ya city centre mwaka 1860 hiyo ni miaka ya 2021/22
 
Mbona wamechelewa sana kusema,wamewaza nini au nini kimewakumba.
au ndo huo moto wa mrusi unawafanya waanze kupata akili
 
Ujue hawajafanya. Angalifanya Vatican wasingekubali wajitie doa wao, au America angalikuwa ashasema zamani na ushahidi tele, lkn sijasikia kama kuna msikiti wowote ulikuwa makazi ya watumwa, lkn makanisa mengi tu yapo ndani kuna mashimo ya watumwa
Ndugu yangu, wewe umesoma historia gani inayowatenga waarabu na biashara ya watumwa?

Au tumuulize mzee Mohamed Said
 
Back
Top Bottom