BBC: Kenya imeingia makubaliano na UK kuwapatia madaktari wake ajira

BBC: Kenya imeingia makubaliano na UK kuwapatia madaktari wake ajira

Uingereza inashindwa kuchukua madaktari Cuba sababu ya language barrier, Wahindi ni shida sana kuwasiliana na wagonjwa. Kenya wana Kiingereza kizuri hasa kwa kuandika.

I
kwahiyo Wahindi hawajui kuandika umetoa wapi hii argument yako? Ukiacha English practitioners UK kuna nchi ina madaktari wengi huko zaidi ya India toka Commonwealth?
 
Wabongo mambo mengine yakawaida kabisa mnashobokea hadi mnatia aibu.

"Tanzania imeendelea kuwa nchi kiongozi barani Afrika katika nyanja ya usalama na mbia muhimu sana wa Kamandi ya Afrika ya Jeshi la Marekani. Majeshi yetu ya ulinzi yana historia ndefu ya kufanya kazi bega kwa bega,” amesema Jenerali Townsend.

Hii kauli wangeiskia wakenya wangeanzisha Uzi wa kupinga
 
"Tanzania imeendelea kuwa nchi kiongozi barani Afrika katika nyanja ya usalama na mbia muhimu sana wa Kamandi ya Afrika ya Jeshi la Marekani. Majeshi yetu ya ulinzi yana historia ndefu ya kufanya kazi bega kwa bega,” amesema Jenerali Townsend.

Hii kauli wangeiskia wakenya wangeanzisha Uzi wa kupinga
Cc Geza Ulole
 
kwahiyo Wahindi hawajui kuandika umetoa wapi hii argument yako?
I’m telling you, kulikua na complains nyingi sana. Kumbuka walikua wanafanya mass recruitment ya madaktari kutoka India. Sasa hivi wanageukia nchi za Commonwealth Africa
 
Maswali ya kujiuliza, je wataalam wa maswala ya afya nchini Kenya, wapo wa kutosha???
Maana bara la Afrika ni la ajabu sana. Mfano Malawi ina madaktari wengi wanaofanya kazi Uingereza kuliko wanaofanya kazi nchini mwao.

Kweli mkuu
Nakumbuka miaka ya nyuma wakati uk [emoji636] wanaajiri doctors wengi kutoka Africa kama Ghana na kwingineko
Nakumbuka kuna MP mmoja alileta taharuki bungeni baada ya kusema kuwa
Kila wakati tuko mbele kuwasaidia na wananchi wao wanakufa kwa maradhi na sasa tunawachukulia na tabibu wao pia
Je ubinadamu wetu uko wapi?

Halafu leo bado kuna waafrika wanafurahia haya
Na bado wanalipwa mishahara midogo kuliko white
IMG_1867.jpg
 
Serikali ya Lumumba imepiga usingizi,kwa waliotembea huko duniani watakubaliana na mimi kwenye kada za Afya Nurse wanasoko Sana hasa USA kuliko hata Daktari, lakini tunao kibao hapa jobless na degree zao
 
Nimesikiliza dira ya dunia kwenye matangazo ya leo wanasema Kenya na uingereza wameingia makubaliano ambapo kupitia hayo makubaliano, madaktari wasiokua na ajira watapatiwa ajira hizo nchini uingereza.

Naomba viongozi wetu waige ubunifu wa aina hii. Tusibakie na ubunifu wa kudhibiti wapinzani na kupandisha tozo mara dufu.

Nadhani tungeweza kuongea vizuri na viongozi wa dunia tungetafutia ajira walimu wa kiswhili, maana ndiyo bidhaa tunayoimiliki kwa wingi na kwa uhakika.

Inasikitisha pale unamsikia kiongozi mwenye dhamana akiwalaumu vijana kwamba hawana uthubutu na ubunifu wakati wao wameshindwa kubuni fursa za ajira kwa vijana.
Habari wanajamvi, naitwa Dr Kay, ni daktari wa binadamu ninayeishi na kufanya kazi nchini Uingereza.

Miaka michache ya nyuma, kumekua na changamoto ya ajira kwa wahitimu wa masomo ya afya nchini Tanzania. Hii imepelekea kuwa na wataalamu wa afya kubaki mtaani bila ajira kwa maelfu huku nchi zilizoendelea kama UK 🇬🇧 marekani 🇺🇸 na Australia 🇦🇺 wakiwa na uhitaji mkubwa wa wafanyakazi wa afya (dokta, nesi, mtu wa mazoezi physiotherapy, occupational therapy)

Hivyo basi, nimeandaa fomu ndogo ya kujaza Je, umeridhika na kazi yako? ku angalia ukubwa wa tatizo la ajira nchini Tanzania 🇹🇿 ili ku angalia namna ya kusaidia wataalamu wetu wenye uhitaji wa kazi kupata mwongozo sahihi wa kutatua changamoto ya ajira.
Ukiandika anwani yako ya barua pepe nitakupa mrejesho na mwongozo kuhusu fursa za kazi za kimataifa katika sekta ya afya. Mjulishe na mwenzako anayedhamiria kufanya kazi nje ya nchi.

Wasalaam
Dr Kay, MD
GPST
Kent, UK
 
Na miezi michache iliyopita Serikali ya UK imeanza kuajiri madaktari, manesi na wengine kwenye field hiyo kwa wingi.
Ni kweli mkuu lakini na wa Tanzania wanaajiriwa pia ila hawatangazi
 
This corrupt government is very busy to wipe Chadema, very sad but it’s the TRUTH.
Acha hizo

Kenya na Zimbabwe kulishakuwa na mifumo ya madaktari na manesi watu wakawa wanakufa kwa kukosa matibabu wakaiomba Tanzania ipeleke Chadema walipinga mno waziwaxi Kenya wakaenda kuchukua Cuba
 
Back
Top Bottom