Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
FactsKuna watu mpaka leo wanafuatilia BBC kwel?😂😂😂 anyway kwa ushaur tu siku utakapoacha kufatilia BBC nina asilimia 90 Akil zako zitafanya kaz kwa ueledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactsKuna watu mpaka leo wanafuatilia BBC kwel?😂😂😂 anyway kwa ushaur tu siku utakapoacha kufatilia BBC nina asilimia 90 Akil zako zitafanya kaz kwa ueledi
Hakuna mwanajesh wa NATO yupo ukraine lakini nakubali silaha zinaingia kama njugu Ukraine kwa ajili ya kutokomezwa vamizi russia., swali liko pale pale tu, kama russia ana jeshi la kutosha kwanini ilibidi wabadilishane na Noth Korea? Noth Korea wapewe mchele russia apewe wanajeshi?Urusi hana jeshi ila Ukraine analo na hizo habari umezipata kutoka wapi unategemea kabisa kwamba balozi wa Korea kusini ainenee mema Ukraine kweli kama wanajeshi hata wa NATO wapo pia pale Ukraine kwa mgongo wa mercenaries
Anayeteseka na vita ni Russia 100%, Zelensky anasema wanapigana na wanajeshi 50,000 katika maeneo ya Kurks wanajeshi 10,000 ni kutoka North Korea.,Naona umeamua sasa kuonesha sura yako halisi hemu leta sehemu Russia alisema kwamba op itakua ni ya siku tatu pia kama kuchukua mercenaries ndio kushindwa vita hata Iraq kule walikuwepo mercenaries pia israhell nae ana mercenaries kushinda vita tunaangalia mwenendo wa field na huko field anajulikana nani anateseka
Wewe unabisha wakati viongozi wa NATO wenyewe walikiri kuwepo huko ila endelea kubisha kama marekani ana jeshi la kutosha kwa nini hakuenda kuivamia Iraq peke akeHakuna mwanajesh wa NATO yupo ukraine lakini nakubali silaha zinaingia kama njugu Ukraine kwa ajili ya kutokomezwa vamizi russia., swali liko pale pale tu, kama russia ana jeshi la kutosha kwanini ilibidi wabadilishane na Noth Korea? Noth Korea wapewe mchele russia apewe wanajeshi?
Imerudishwa nyuma wapi kaiangalie mauriopol kaiangalie soledar bila kusahau bakhmut hakuna sehemu inaendeshwa chini ya Ukraine huko kurskAnayeteseka na vita ni Russia 100%, Zelensky anasema wanapigana na wanajeshi 50,000 katika maeneo ya Kurks wanajeshi 10,000 ni kutoka North Korea.,
Unavamia wewe halafu unarudishwa nyuma unavamiwa wewe kwenye eneo lako, nani anateseka?
sasa kaa mauriopol na bakhmut ipo chini ya russia kwanini Putin analalamika kwamba yeye anataka vita iishe lakini Ukrean imuachie hayo majimbo 4., kwanini na yapo chini yake??Imerudishwa nyuma wapi kaiangalie mauriopol kaiangalie soledar bila kusahau bakhmut hakuna sehemu inaendeshwa chini ya Ukraine huko kursk
Wewe na putin nani anajua zaidi? Putin alisema siku NATO wakiingiza jeshi lao ukraine vita itabadilika na kuwa vita ya nuclear.Wewe unabisha wakati viongozi wa NATO wenyewe walikiri kuwepo huko ila endelea kubisha kama marekani ana jeshi la kutosha kwa nini hakuenda kuivamia Iraq peke ake
Good analysis,Hizo ni propaganda!
Jeshi bila uzoefu wa vita halisi bado linakuwa si jeshi kamili.
Kutumia mazoezi na mbinu walizofundishwa kwenye eneo halisi la vita ndipo jeshi linaimarika.
Korea ya Kaskazini mwisho wa kupigana vita halisi na vya kisasa ni kwenye vita vya wakorea wenyewe.
Korea ya kaskazini imeomba wapeleke wanajeshi wake kwenye vita ya Ukraine ili wapate uzoefu wa vita hususani ya kisasa inapigwanaje na kuangalia ubora wa zana zap upoje kwenye vita kamili.
Si Korea bali hata China ilipeleka vijana wake hususani kwenye urban warfare.
Hii hali inamuogopesha Korea ya Kusini ndiyo maana anatapa tapa!