Hizo ni propaganda!
Jeshi bila uzoefu wa vita halisi bado linakuwa si jeshi kamili.
Kutumia mazoezi na mbinu walizofundishwa kwenye eneo halisi la vita ndipo jeshi linaimarika.
Korea ya Kaskazini mwisho wa kupigana vita halisi na vya kisasa ni kwenye vita vya wakorea wenyewe.
Korea ya kaskazini imeomba wapeleke wanajeshi wake kwenye vita ya Ukraine ili wapate uzoefu wa vita hususani ya kisasa inapigwanaje na kuangalia ubora wa zana zap upoje kwenye vita kamili.
Si Korea bali hata China ilipeleka vijana wake hususani kwenye urban warfare.
Hii hali inamuogopesha Korea ya Kusini ndiyo maana anatapa tapa!
Good analysis,
Wazandiki wanajaribu kupotosha Kila wanapopata nafasi.
Lkn ulichoandika ndio uhalisia wenyewe.
Hata hili suala wanaloita njaa ya KOKA kimsingi ni njaa iliyotokana na vikwazo onevu kutoka nchi mabebebru.
Laiti kama KOKA isingekua na vikwazo pengine Leo ingekua kama Malaysia.
Angalia pia nchi za Cuba na Iran nazo zinapitia uonevu wa vikwazo.
Kwa kumalizia Urusi imeamua kuisaidia KOKA ili ipate uzoefu utaona pia ni wataalamu wa jeshi la Urusi ndio wanawapa mafunzo ya awali wa anajeshi Wa KOKA kabla ya kuingia uwanja wa vita,Sasa Urusi itaombaje msaada wa kijeshi kwa nchi halafu ianze kulifundisha jeshi analoliomba msaada?
Mabeberu na wafuasi wao kwa kubadilisha mada ni hawajambo.
Hata hivyo wote tunafahamu humu kua Kila upande una allies (washirika)wake,Sasa inakuaje west anapeleka washirika wake vitani lakini Urusi akipeleka washirika wake inakua nongwa?
Zamani kulikua Kuna NATO na Warsaw Pact,WP ikavunjika je Urusi Hana haki ya kua na Allies wengine?
USA hata akipigana na kikundi kama Al-Qaida na Watalabani TU anachukua kundi la Allies wake pamoja na NATO je Urusi Hana haki ya kua na marafiki?
West waache uoga