Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Vijan wa ovyo mnawaza mapenzi na mahaba Sina mda wa kubishana maana huna hoja zaidi ya mipashoSi kwamba uwezi, unaweza ila huna cha kujibu.
utajibu nini wakati ulichokiandika kimejengwa katika msingi ya hisia na MAHABA!!.
siku hizi wazee ni watu waajabu sana.😊😊
mimi sibishani, mimi nina jadili.Vijan wa ovyo mnawaza mapenzi na mahaba Sina mda wa kubishana maana huna hoja zaidi ya mipasho
nimekupuuzaUkraine inaandika kwa kupewa silaha za kivita na USA na EU pamoja na askari wa msaada wa mapambano badala ya kutumia silaha zake halisi, hivi kweli ni akili zako binafsi au dishi lako limeyumba [emoji848][emoji23]
Kwa busara zangu mm siwezi kubishana na mwanangu wa kumzaa kabsa sawa hii ni jukwaa ya BBC ,unaongelea kuhus movie badala ya mada husikamimi sibishani, mimi nina jadili.
wewe ni mzee wa mwaka gani anaeweka profile picture za mastar wa movie za kikorea? we ni mzee wa michongo😊😊.
wazee movie ni:,
Roundhay garden scene.
defence of Sevastopol.
the story of the Kelly gang.
reproduction of the Corbett and Fitzsimmons fight.
sasa wewe mzee na movie za kikorea wapi na wapi!! nyie ndiyo mnaharibu vitukuu vyenu.
Wewe ni dingi wa michongo🤣🤣Kwa busara zangu mm siwezi kubishana na mwanangu wa kumzaa kabsa sawa hii ni jukwaa ya BBC ,unaongelea kuhus movie badala ya mada husika
Hata hii nayo ni propagandaPropaganda as usual
Jibu hoja kwa hoja,unaweza kukuta huyo ni Baba yako ila Mama yako kakuficha wewe na huyo unaemuita Baba hapo kwenu.Siwezi kubishana humu na watoto wa 2002 ,wew endelea kuamini na unachoamini
Chanzo /source usitulishe matango pori mkuuHata hii nayo ni propagandaView attachment 2162967
Moto wa mabuaMimi ninachojua mUkraine anapelekewa moto tu
Kwa hiyo? Russia si alitangaza atakaemsaidia Ukraine atakula kichapoUkraine inaandika kwa kupewa silaha za kivita na USA na EU pamoja na askari wa msaada wa mapambano badala ya kutumia silaha zake halisi, hivi kweli ni akili zako binafsi au dishi lako limeyumba [emoji848][emoji23]
😂😂😂Sawa mjukuu ukikua utaelewa nahic bado hujabalehe vizuriWewe ni dingi wa michongo🤣🤣
Huna unachokiongea wew unaonekan una asili ya ubishiJibu hoja kwa hoja,unaweza kukuta huyo ni Baba yako ila Mama yako kakuficha wewe na huyo unaemuita Baba hapo kwenu.
Chanzo ni RTChanzo /source usitulishe matango pori mkuu
Jibu hoja wewe shipafuHuna unachokiongea wew unaonekan una asili ya ubishi
Mm nadhan kijana una tatzo kubwa Sana na kulitatua inabidi uache jf kwa mda ili akili zikae sawa sawiaKwa hiyo? Russia si alitangaza atakaemsaidia Ukraine atakula kichapo
Sawa shangazi utajibiwa na binamuJibu hoja wewe shipafu
Unaona Sasa narudia tumevamiw na watot wa FOA hawajui A to Z ni hasara kwa kweliChanzo ni RT
Jibu hoja acha personal attackMm nadhan kijana una tatzo kubwa Sana na kulitatua inabidi uache jf kwa mda ili akili zikae sawa sawia
Subiri shemeji arudi kazini akushike masaburi ili apate stimu za kumkamua Dada yakoSawa shangazi utajibiwa na binamu