Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
- Thread starter
- #41
Taarifa za mastaa wetu, ni ngumu kuzipata, hapa kuna tatizo huenda ni uwoga wa kodi... Ila nimewahi sikia utajiri wa MASANJA MKANDAMIZAJI ni hatari eti jide na hata mondi(dangote) wanasubiri... Ehhh, hebu wenye hizi nyaraka from right and reliable source afunguke...dah ana mpunga aisee, hv dangote wetu atakua na sh ngap jaman? mana adele akitoa nyimbo anatulia hata miaka miwili lakn kina chibu wanatoa kila baada ya week tatu.