BBC: Special forces toka Marekani, Uingereza, na nchi za NATO wanapigana vita Ukraine, lakini wameshindwa kuikomboa Ukraine

BBC: Special forces toka Marekani, Uingereza, na nchi za NATO wanapigana vita Ukraine, lakini wameshindwa kuikomboa Ukraine

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Documents zilizoliki za Pentagon zimeonesha kuwa wanajeshi wa vikosi maalumu toka Marekani, Uingereza, na nchi nyingine za NATO wapo uwanja wa vita Ukraine wakipigana na masecurity guards wa Urusi (wargner group).

Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa kwa zaidi ya mwaka sasa vikosi hivyo maalumu vimeshindwa kuwazuia masecurity guards (wargner group-kampuni ya ulinzi kama hizi kampuni zetu binafsi za kibongo tu) kuteka ardhi ya Ukraine wala kurejesha ardhi iliyotekwa na masecurity guards hao.

Licha ya zile ngano za kale, uvumi na ngonjera ambazo huwa tunasimuliwa hapa JF, kwenye vijiwe vya kahawa na hata kwenye Hollywood movies juu ya eti uhodari na weledi wa mapigano ya kivita ya vikosi hivyo maalumu (special forces) vya Super Power wetu wa mchongo (Marekani) na shoga yake (Uingereza), vikosi hivyo vimeshindwa kuikomboa Ukraine!

Aisee Urusi ni noumaa...shikamoo Urusi, Mungu mbariki Putin.

SmartSelect_20230412-212418_Chrome.jpg
 
Documents zilizoliki za Pentagon zimeonesha kuwa wanajeshi wa vikosi maalumu toka Marekani, Uingereza, na nchi nyingine za NATO wapo uwanja wa vita Ukraine wakipigana na masecurity guards wa Urusi (wargner group).

Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa kwa zaidi ya mwaka sasa vikosi hivyo maalumu vimeshindwa kuwazuia masecurity guards (wargner group-kampuni ya ulinzi kama hizi kampuni zetu binafsi za kibongo tu) kuteka ardhi ya Ukraine wala kurejesha ardhi iliyotekwa na masecurity guards hao.

Licha ya zile ngano za kale, uvumi na ngonjera ambazo huwa tunasimuliwa hapa JF, kwenye vijiwe vya kahawa na hata kwenye Hollywood movies juu ya eti uhodari na weledi wa mapigano ya kivita ya vikosi hivyo maalumu (special forces) vya Super Power wetu wa mchongo (Marekani) na shoga yake (Uingereza), vikosi hivyo vimeshindwa kuikomboa Ukraine!

Aisee Urusi ni noumaa...shikamoo Urusi, Mungu mbariki Putin.

View attachment 2585728
Nadhan umetumia jazaba sana kuandika huu uzi., Kumbuka adui alipoivamia Ukrean alikuwa wapi na sasa yuko wapi utagundua mafanikio makubwa bila ya kupepesa macho., Russia ilipovamia ukrean walitinga hadi Kyiv na kutawala eneo lenye ukubwa wa nchi ya Newzeland.

Zelensky na wanajeshi wa Ukrean wakitembea porini na kwenye mahandaki, lakini ona sasa Jeshi la Ukrean na hao uliotaja kama ni hivyo ulivyoeleza wamafenikiwa adui kumtoa mji mkuu Kyiv na kumsukuma hadi miji ya pembeni mpakani na russia huko ambako battle inaendelea.

Kyiv sasa ni mahali salama tumekuwa tukiona viongozi mbali mbali wa dunia na ukrean wenyewe wakitembelea na huduma zote zimerudi, watoto wamerudi shule nakadhalika,

Hiyo bakhmut unayozungumzia tokea tumesikia russia anaitaka bakhmut na kutanga amei control hadi leo hii naandika hapa urusi bado hajatoboa badala yake juzi amesema bado wanahitaji wiki kadhaa kuichukua bakhmut, lakini ukweli ni kwamba batlle ni ya nguv sana na urusi wamepoteza wanajeshi wengi sana wakiwamo hao Wagner Group ambao walijitokeza kwa bakhmut

Vita inaendelea, Zelensky juzi akiwa poland alisema kazi inaendelea lakini watahakikisha na Crimea mavamizi wanakopolewa, sasa vita inaendelea na Ukrean mpaka sasa wao wana defend bado hawajashambulia hasa ambapo ni mpaka wamtoe adui kabisa kabisa katika nchi yao; mafanikio ni makubwa urusi walisema watatumia 72hrs kabla lakini sasa mwaka unaingia mwengine, uchumi wao umeporomoka na bajet yao hawakutarajia ni anguko kubwa kwa superpowre putin
 
Hapa Tanzania Kuna Wakruine wengi sana na Warusi wengi sana ambao wote tunazitetea hizo nchi kwasababu tofauti ila kwa Nyie Waukraine hivi mmejivika miwani ya mbao kabisa hamuoni wala hamsikii ukweli kwamba Ukraine inatumika tu na ushahidi ni hizo nyaraka..Ukraine kamwe haiwezi kuipiga Urusi na hiki kinachoendelea hata kama Urusi kaonyesha Udhaifu mkubwa kwa kushindwa kumaliza Vita hii kwa muda mfupi ila ukweli ni kwamba Urusi hajamuonea Ukraine..Ni Wao Ukraine wanaopanga uovu hivyo lazima wadhibitiwe wasitumike kuhujumu Urusi...Mwisho wa siku Ukraine inabakia magofu matupu imejeruhiwa sana sana...

Kuhusu Uonevu hakuna nchi katiri iliyoua mamilioni ya watu kote Dunia hii na ambayo inapaswa kuchomwa moto kama Marekani na Ulaya kwa Ujumla..Sisi pekee Waafrika tumeuwawa sana mnoo Wenzetu wengi wameuawawa na msijifanye hamjui..Kama unaweza kupata uchungu kwa ukraine kwanini usipate uchungu hapo Congo watu wanauwawa tu
 
Hawa Jamaa waliwahi kukaa wakagawq Afrika kama Pipi..Watu washenzi sana hawa..Berlin Conference ni moja ya vitu vibaya katika historia ya Dunia hii mpaka leo wanafanya ujinga huo huo
 
Eti wagner ni sawa na KK SECURITY?Hebu nitajie kampuni moja ya ulinzi inayomiliki vifaru,mizinga,helikopta na hata fighter jet?wagner wana silaha zaidi hata ya baadhi ya majeshi ya nchi zetu za ulimwengu wa tatu.
 
Ni muda sasa dunia kushuhudia wakina ..Van Damme,Anold,Komando kipensi,Rambo, Captain America,Chuck Norris na John cena wa uhalisia na siyo movie tu za wa-vietnam..

Ila hii vita ikiisha tutaona movie nyingi 😅😅😅 za sterling wa kimarekani na kubwa la maadui Mrusi 😅😅😅😅🤠🤠
 
Hapa Tanzania Kuna Wakruine wengi sana na Warusi wengi sana ambao wote tunazitetea hizo nchi kwasababu tofauti ila kwa Nyie Waukraine hivi mmejivika miwani ya mbao kabisa hamuoni wala hamsikii ukweli kwamba Ukraine inatumika tu na ushahidi ni hizo nyaraka..Ukraine kamwe haiwezi kuipiga Urusi na hiki kinachoendelea hata kama Urusi kaonyesha Udhaifu mkubwa kwa kushindwa kumaliza Vita hii kwa muda mfupi ila ukweli ni kwamba Urusi hajamuonea Ukraine..Ni Wao Ukraine wanaopanga uovu hivyo lazima wadhibitiwe wasitumike kuhujumu Urusi...Mwisho wa siku Ukraine inabakia magofu matupu imejeruhiwa sana sana...

Kuhusu Uonevu hakuna nchi katiri iliyoua mamilioni ya watu kote Dunia hii na ambayo inapaswa kuchomwa moto kama Marekani na Ulaya kwa Ujumla..Sisi pekee Waafrika tumeuwawa sana mnoo Wenzetu wengi wameuawawa na msijifanye hamjui..Kama unaweza kupata uchungu kwa ukraine kwanini usipate uchungu hapo Congo watu wanauwawa tu
Kwahiyo wewe unashangilia wa-ukraine kuuwawa kisa mmarekani na yeye alikuwa muuaji 🤠🤠🤠 ..kwahiyo atasiku Putin akisema anataka kuzivamia nchi zilizounga mkono ujamaa ili aurudishe utakubali tu ufe? 🤠🤠
 
Nadhan umetumia jazaba sana kuandika huu uzi., Kumbuka adui alipoivamia Ukrean alikuwa wapi na sasa yuko wapi utagundua mafanikio makubwa bila ya kupepesa macho., Russia ilipovamia ukrean walitinga hadi Kyiv na kutawala eneo lenye ukubwa wa nchi ya Newzeland.

Zelensky na wanajeshi wa Ukrean wakitembea porini na kwenye mahandaki, lakini ona sasa Jeshi la Ukrean na hao uliotaja kama ni hivyo ulivyoeleza wamafenikiwa adui kumtoa mji mkuu Kyiv na kumsukuma hadi miji ya pembeni mpakani na russia huko ambako battle inaendelea.

Kyiv sasa ni mahali salama tumekuwa tukiona viongozi mbali mbali wa dunia na ukrean wenyewe wakitembelea na huduma zote zimerudi, watoto wamerudi shule nakadhalika,

Hiyo bakhmut unayozungumzia tokea tumesikia russia anaitaka bakhmut na kutanga amei control hadi leo hii naandika hapa urusi bado hajatoboa badala yake juzi amesema bado wanahitaji wiki kadhaa kuichukua bakhmut, lakini ukweli ni kwamba batlle ni ya nguv sana na urusi wamepoteza wanajeshi wengi sana wakiwamo hao Wagner Group ambao walijitokeza kwa bakhmut

Vita inaendelea, Zelensky juzi akiwa poland alisema kazi inaendelea lakini watahakikisha na Crimea mavamizi wanakopolewa, sasa vita inaendelea na Ukrean mpaka sasa wao wana defend bado hawajashambulia hasa ambapo ni mpaka wamtoe adui kabisa kabisa katika nchi yao; mafanikio ni makubwa urusi walisema watatumia 72hrs kabla lakini sasa mwaka unaingia mwengine, uchumi wao umeporomoka na bajet yao hawakutarajia ni anguko kubwa kwa superpowre putin
 
Documents zilizoliki za Pentagon zimeonesha kuwa wanajeshi wa vikosi maalumu toka Marekani, Uingereza, na nchi nyingine za NATO wapo uwanja wa vita Ukraine wakipigana na masecurity guards wa Urusi (wargner group).

Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa kwa zaidi ya mwaka sasa vikosi hivyo maalumu vimeshindwa kuwazuia masecurity guards (wargner group-kampuni ya ulinzi kama hizi kampuni zetu binafsi za kibongo tu) kuteka ardhi ya Ukraine wala kurejesha ardhi iliyotekwa na masecurity guards hao.

Licha ya zile ngano za kale, uvumi na ngonjera ambazo huwa tunasimuliwa hapa JF, kwenye vijiwe vya kahawa na hata kwenye Hollywood movies juu ya eti uhodari na weledi wa mapigano ya kivita ya vikosi hivyo maalumu (special forces) vya Super Power wetu wa mchongo (Marekani) na shoga yake (Uingereza), vikosi hivyo vimeshindwa kuikomboa Ukraine!

Aisee Urusi ni noumaa...shikamoo Urusi, Mungu mbariki Putin.

View attachment 2585728
Kwa hapo BBC imekufurahisha na umeiamini sio?
 
Nyie wataalam wa kujilipua mbona hamjaenda huko mkajilipue ili mkapate wale mabikra 72 walio katika nchi ya kusadikika.
 
Back
Top Bottom