kuna vyombo vingi sana zaidi ya BBC, badala ya kuwalalamikia wao, why usienee kwingine?Hizo propaganda baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn mumekuwa kimya.
Bbc wanasema hawapendelei. Kama wapo pamoja waseme tujue upande wao tuangalie channel nyenginekuna vyombo vingi sana zaidi ya BBC, badala ya kuwalalamikia wao, why usienee kwingine?
jukumu la kuchagua ni lako si lao. Hawalazimishi mtu kutazamaBbc wanasema hawapendelei. Kama wapo pamoja waseme tujue upande wao tuangalie channel nyengine
Noo. Ndio ulovyodanganywa shuleni kwenu?jukumu la kuchagua ni lako si lao. Hawalazimishi mtu kutazama
kama unaweza kuchagua mtandao upi utumie, nini kinakushinda kuchagua channel ipi uangalie?Noo. Ndio ulovyodanganywa shuleni kwenu?
Alikuwa mtu wa maana sanaLeo tangu asubuhi wanatoa Wasifu wa Nasrallah tu πΌ
Kwani wewe inakuumiza nini roho yako. Nanyie TBC si uwambie waripoti vile unavyotaka kusikia kuhusu hao wenzenu wa HAMAS na HEZBOLLAH. Hizo roho zenu za kuhamasisha kumwaga damu za wenzenu hazitawapeleka mbinguni wala kuwapa hao mabikira warembo mnaodanganywa kupatiwa huko ahera ! Kule ukienda haurudi na hakuna hivyo vitu . Mtajiripua bure na kupteza maisha yenu ha hapa duniani wakati hakuna maisha mengine baada ya hapa. So linda na tetea uhai wako na wa wenzako pasipo hiana wala chuki.Hizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo
Kazaliwa 1960Alikuwa mtu wa maana sana
Kabla ya kukosoa vile vyombo vya nje, kosoa kwanza vya hapa nyumbani kwenu ambavyo navyo vimegeuka kuwa chawa na havitoe tena balance news any more .Bbc wanasema hawapendelei. Kama wapo pamoja waseme tujue upande wao tuangalie channel nyengine
Wewe udini unakusumbua sana. Mm huwa naangalia sana tv ya Aljazeera ambayo, kwa kutuhumiwa na Israel kuwa inapendelea waarabu, imezuiwa kuripoti kutoka ndani ya Israel, sijawahi kuona hicho unachokisema. Wanaonyesha kila siku watoto, wanawake na wengine wameuawa kinyama na majeshi ya Israel. Sioni hao wanajeshi Wa Israel wakiwa katika Masanduku km unavyodai, au wewe ndiye unayesafirisha hiyo miili ya wanajeshi Wa Israel wakiwa ktk Masanduku kwa siri??Hizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo
Leo tangu asubuhi wanatoa Wasifu wa Nasrallah tu πΌ
Itakuwa mwandishi wa bbc wewe. Huna hojaWewe udini unakusumbua sana. Mm huwa naangalia sana tv ya Aljazeera ambayo, kwa kutuhumiwa na Israel kuwa inapendelea waarabu, imezuiwa kuripoti kutoka ndani ya Israel, sijawahi kuona hicho unachokisema. Wanaonyesha kila siku watoto, wanawake na wengine wameuawa kinyama na majeshi ya Israel. Sioni hao wanajeshi Wa Israel wakiwa katika Masanduku km unavyodai, au wewe ndiye unayesafirisha hiyo miili ya wanajeshi Wa Israel wakiwa ktk Masanduku kwa siri??
Taqqya na Allah wenuHizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo
πππ We nawe asa hauoniHizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo
Sasa kama wapalestina hawana mafanikio yeyote mlitaka bbc waandike nini kuwafurahisha nyie kobaziHizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo