Hizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina.
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo
Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa kimya.
Wanavyoripoti na uhalisia ni tofauti.
Kama wanavyoripoti ni kweli ni zawadi sio America wala UK angaliomba Hamas wasimamishe vita.
Angalau waache bias kidogo