Bbc Swahili: Isreal sio ardhi yao ni ya Palestina

Bbc Swahili: Isreal sio ardhi yao ni ya Palestina

Mi sibishani wayahudi kuwa na Nchi yao ila waliorudi pale ni Wazungu.Sasa swali la kujiuliza wale Wazungu walitokea wapi???Wakati wayahudi na waarabu wote wanafanana Kwa sura na tabia.Wale ni Wazungu bana wameletwa pale kimkakati na walifundishwa Mila na desturi za Jews miaka na miaka.Hivi mnawajua Roma wanavojua kupanga mipango yao.
 
hiyo kitu hata Zanzibar ilitokea, wabara wengi walihamia Zanzibar kwa kupitia mgongo wa Uingereza early 1900's wabara wengi walihamia
 
Wewe Malaria2 acha uzwazwa kutwa na ya palestina na hao wayahudi wasiokutambua wala hawana haja ya kukutambua. ya nchi yk sikuoni ukiyapa kipaumbele. Waisalam wenzako familia ya kikwete wanaitia hasara nchi waanzilishi wa ufisadi nchini.
 
Hivi mbona huwa mnalazimisha kumiliki hao Wayahudi akina Yakubu na Yusufu.
Ni kwambie MK254, hawa waislam hasa hawa wasiokuwa waarabu wanapotoshwa sana na waarabu. Waarabu walikuwa werevu wakawaambia ati lugha ya quran iwe kiarabu tu. Wenzangu na mm hawakijui halafu wanakaririshwa tu. Mbili wakaaminishwa ati Quran haina kosa lolote kiuandishi, kumbe ni kitabu kilichoandikwa kihovyo haijapata kutokea na imebadilishwa mno.
Tatu waarabu wanapotafsiri huwa wanaficha maneno fulani ili waendelee kuwaacha gizani hawa jamaa zetu.
Quran Ayat 39:12 inasema Mtume Mohammad alikuwa muislam wa kwanza. Kwenye hii screenshot hilo neno liko highlighted tafsiri yake sahihi ni “muslimiyn“ ambayo ni Muslim. Wao wakaipa tafsiri potofu ili kuendeleza agenda yao ya ati mitume wote wa zamani walikuwa waislam. Pia jiulize kama uislam ulianza zamani kwanini Allah akampitishia Mohammad kwa Baba yake Abdullah ambaye alikuwa Mpagani tena Mungu wao wa Kipagani aliitwa Allah-na maana ya jina lake ABDULLAH
IMG_2334.png
 
Mbona hujaeleza wakati wayahudi wanahamia wenyeji walikuwa kina nani, nani alikuwa chifu/sultani/Amir au rais wa wenyeji?

Nchi zote za kiarabu/kiafrica zilikuwa na machifu/ wafalme kabla, wakati na baada ya ukoloni, Hawa wapalestina walikuwa wanaishi Kama siafu?

Hao wanaojiita wapalestina Ni waarabu kutoka nchi mbalimbali Kama Syria, Lebanon, Jordan waliopelekwa pale kwa mkakati wa kupambana na wayahudi wenye nchi yao
 
Mi sibishani wayahudi kuwa na Nchi yao ila waliorudi pale ni Wazungu.Sasa swali la kujiuliza wale Wazungu walitokea wapi???Wakati wayahudi na waarabu wote wanafanana Kwa sura na tabia.Wale ni Wazungu bana wameletwa pale kimkakati na walifundishwa Mila na desturi za Jews miaka na miaka.Hivi mnawajua Roma wanavojua kupanga mipango yao.
Uko tayari kuujua ukweli wa hiyo nchi ni ya nani haswa?
Tumia muda kusikiliza hii interview

View: https://youtu.be/BJiX9_spvak?si=gWJNka2h-HtaKTbI
 
Na wanahitaji kumiliki gaza kwa sasa. Lebanon ikijipendekeza na yenyewe ishuhudie ujenzi wa nyumba za walowezi kwenye ardhi yake😂😂😂
Kama hiki mnaona ni sawa basi Putin ni halali aichukue Ukraine!! Au ukoloni urudi Afrika maana haiwezekani tunapinga ukoloni wa wazungu alafu tunashabikia ukoloni wa uarabuni
 
Back
Top Bottom