Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Aljazeera ni English tupu Kule,unapomwambia mtu aisikilize inabidi ufahamu kwanza huyo mtu English inapanda au la.Kawasikilize Al-Jazeera uwasikie wakikupambia pambio za Parestina kuua kwa kuwavizia wayahudi
wakibadil mtalalama kuwa wanaficha maafa yenu , nyiny waislama ni watu wajinga snTunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti.
Jinsi mnavyoripoti basi pslestina wote washakufa. Yaani licha ya mayahudi kupigwa lkn page yenu ya bbc.swahili.co/swahili imejaa propaganda.
Jitahidini kuripoti usawia
mpalestina hata mmoja hajafaKwani jukumu la chombo cha habari ni kuripoti wanavyotaka au kuripoti ukweli.Kwenye ethics za journalism waandishi wanatakiwa kuwa fair sio biased.Hivyo BBC sasa ni mouthpiece ya mawazo na fikra za kimagharibi na sio ukweli na uweledi.
Fuatlia AljazeeraTunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti.
Jinsi mnavyoripoti basi pslestina wote washakufa. Yaani licha ya mayahudi kupigwa lkn page yenu ya bbc.swahili.co/swahili imejaa propaganda.
Jitahidini kuripoti usawia
tangaza ww ssMuislam.kufa ktk vita hivi kwake ni furaha maana ni vita vya jihad. Lkn bbc waache unazi waripoti usawia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aljazeera ni English tupu Kule,unapomwambia mtu aisikilize inabidi ufahamu kwanza huyo mtu English inapanda au la.
Eti jamani🙄Yaani BBC inawachukia akina
- Salim Kikeke
- Zuhura Yunusu
Mkuu nasikia kuna mademu 72 wa kufanya nao ngono ambao maarabu watawapata wakiwaua wayahudi na wazungu na wabantu.Muislam.kufa ktk vita hivi kwake ni furaha maana ni vita vya jihad. Lkn bbc waache unazi waripoti usawia
Swali mkuu je Al Jazeera au Al arabiya wanaripoti kwa usawa kuhusu hii mzozo????Tunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti.
Jinsi mnavyoripoti basi pslestina wote washakufa. Yaani licha ya mayahudi kupigwa lkn page yenu ya bbc.swahili.co/swahili imejaa propaganda.
Jitahidini kuripoti usawia
Upo sahii mkuukila chombo cha habari lazima kina mrengo fulani hivi hakuna chombo cha habari ambacho sio biased 100%. Inawezekana vipi kwa mfano bbc irushe habari za kuwasifia hamas na matendo yao? au al jazeera irushe habari za kuisifia israel? au azam TV iusifie ukristo? au upendo TV iusifie uislam? Halaf fairness ni judgemental kwa mleta uzi kulingana na iman yake si ajabu kuviona vyombo vya habar vya western haviupend uislam. Kwa mfano wewe mwenyewe unaona vyombo vya habar vya western vipo biased hebu taja hapa ni vyombo gani vya habari na kwa tathmin ipi inayokubalika kimataifa havipo biased?
Vp kwa mfano Al jazeera nacho sio mouth piece ya mawazo na fikira za mashariki na sio ukweli na uweledi???Kwani jukumu la chombo cha habari ni kuripoti wanavyotaka au kuripoti ukweli.Kwenye ethics za journalism waandishi wanatakiwa kuwa fair sio biased.Hivyo BBC sasa ni mouthpiece ya mawazo na fikra za kimagharibi na sio ukweli na uweledi.
Fatma Abdallah naye ati anachukiwa!!Eti jamani🙄
BBC watakuwa wabaguzi sanaFatma Abdallah naye ati anachukiwa!!
🤣BBC watakuwa wabaguzi sana