Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Uzushi na upuuzi mtupu!You are talking about sheria za kimataifa?! Unataka nilete humu ile video ya wazungu wa Lissu akiwemo Amsterdam na wenzake walichopanga dhidi ya Tanzania...wamepanga kuchochea maandamano na mauaji ili vurugu zitokee na kinachoitwa jumuiya ya kimataifa iitishe mkutano wa usuluhishi na Lissu...wazungu hao wanasema na kuropoka bila aibu kwamba ni lazima damu imwagike Tanzania...kuchomwa kwa ofisi za chadema ni miongoni mwa mikakati hiyo...
No BBC sio waongo, bali wamejikanganya kwa kuwategemea watu fulani fulani walio wadanganya makubaliano ya 2017 yamesainiwa, kitu ambacho sii kweli, that was only a draft, makubaliano yaliyosainiwa ni mkataba mmoja tuu!.Kama ni waongo basi fungia Star TV ili watu tusisikie "uongo".
No BBC sio waongo, bali wamejikanganya kwa kuwategemea watu fulani fulani walio wadanganya makubaliano ya 2017 yamesainiwa, kitu ambacho sii kweli, that was only a draft, makubaliano yaliyosainiwa ni mkataba mmoja tuu!.
P
Kuna chochote kilichobadilika kwenye yale mapendekezo na mkataba uliosainiwa 2019?Nimemsikiliza Zuhura Yanus, BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, mkataba ni mmoja tuu, ule uliosainiwa Ikulu 2019!.
Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tuu.
BBC Swahili Iache Uongo!.
NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa na ZZK, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa.
Tulisaidia kufafanua
Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
P
Awamu ya tano walikuwa wanatengeneza regime mpya ya kuwawezesha kuiba wao wenyewe tu siyo kwa manufaa ya watanzania.Kwenye Swala la mikataba hasa madini bila kutoa damu! Bado Mabeberu yataendele kuitwa hivyohivyo!
Hiyo ndiyo inapaswa iwe vita sasa! Zingine hizi za kuoneana Sisi Kwa Sisi, Tatalaaniwa bule
Swala la mikataba ya madini nadhani ipo shida kubwa kuliko tunavyosikia,
Kama ni vita tafadhari zianze upya
Mkuu haya weka hapa tujionee wenyewe.You are talking about sheria za kimataifa?! Unataka nilete humu ile video ya wazungu wa Lissu akiwemo Amsterdam na wenzake walichopanga dhidi ya Tanzania...wamepanga kuchochea maandamano na mauaji ili vurugu zitokee na kinachoitwa jumuiya ya kimataifa iitishe mkutano wa usuluhishi na Lissu...wazungu hao wanasema na kuropoka bila aibu kwamba ni lazima damu imwagike Tanzania...kuchomwa kwa ofisi za chadema ni miongoni mwa mikakati hiyo...
Ni economic benefits not profitsHapo kwenye manufaa ya kiuchumi ya 50/50 ndipo tunahitaji ufafanuzi. Iweje tuwe na hisa ya 16% tupate manufaa ya kiuchumi ya 50/50?
Hata mm nashangaa maana tuliambiwa na lisu kuwa tutashitakiwa MIGA matokeo yake hatujashitakiwa wala nn,pia tuliambiwa na Serikali kuwa makinikia hayataondoka na tutajenga smelter hapa hapa,lakini matokeo yake makinikia bado yanaondoka pia smelter haijengwa mpaka leo,Sasa sisi wakazi wa huku Katoro tuamini kuwa lissu alitudanganya na Serikali pia imetudanganya?au nyinyi wa huko mjini mnaonaje huko?
Ni economic benefits not profits
Mkuu haya weka hapa tujionee wenyewe.
Mambo mengi yaliyoanishwa kwenye hii 50/50 economic ni mambo yanayofall kwenye corporate social responsibility tu.Mkuu nisaidie kuelewa kidogo hapa. Economic benefits tutakazogawana 50/50 ni zipi tofauti na hii share of profit?
Ningekuwa nimeiona nisinge mshauri aiweke hapa. NaisubiriKwani wewe hujaiona mkuu mpaka uwekewe hapa? Hembu jitutumue kidogo ipo kila mahali
Nikiweka hapa itakuwa issue kubwa mno...binafsi nimeiangalia ile video nikashangaa na kuogopa namna wazungu wale walivyoandaa mipango...yaani bila hata aibu wanataka watu wafe Tanzania ili iwe vurugu kubwa ...Mkuu haya weka hapa tujionee wenyewe.
Video ?.You are talking about sheria za kimataifa?! Unataka nilete humu ile video ya wazungu wa Lissu akiwemo Amsterdam na wenzake walichopanga dhidi ya Tanzania...wamepanga kuchochea maandamano na mauaji ili vurugu zitokee na kinachoitwa jumuiya ya kimataifa iitishe mkutano wa usuluhishi na Lissu...wazungu hao wanasema na kuropoka bila aibu kwamba ni lazima damu imwagike Tanzania...kuchomwa kwa ofisi za chadema ni miongoni mwa mikakati hiyo...
Niwekee PM au nipe link niitafute.Nikiweka hapa itakuwa issue kubwa mno...binafsi nimeiangalia ile video nikashangaa na kuogopa namna wazungu wale walivyoandaa mipango...yaani bila hata aibu wanataka watu wafe Tanzania ili iwe vurugu kubwa ...