Kila goti litapigwa kwa mabeberu, Hata Morales wa Bolivia alijitahidi kusimama dhidi ya hawa mwishowe alishindwa na kufurushwa.
Mikataba ya kimataifa ni migumu na inabidi kuheshimiwa na ni suala mtambuka hasa kutokana na ukosefu katika ujuzi wa kufanya kazi na uhaba wa teknolojia , bila kusahau mabenki ya Tanzania kuwa na mitaji pungufu kuweza kuhimili miamala mikubwa ktk fedha za kigeni.
Miamala mikubwa wa fedha za kigeni inaweza kuyumbisha mabenki hivyo ni moto usioweza kuhimiliwa na mabenki ya Tanzania na kuchelewesha shughuli hizi za chapchap za minada ya madini na ununuzi au ukodishaji wa zana nzito za vifaa vizito vinavyotumika ktk uchimbaji na utafutaji.
Mikataba ya kimataifa ni migumu na inabidi kuheshimiwa na ni suala mtambuka hasa kutokana na ukosefu katika ujuzi wa kufanya kazi na uhaba wa teknolojia , bila kusahau mabenki ya Tanzania kuwa na mitaji pungufu kuweza kuhimili miamala mikubwa ktk fedha za kigeni.
Miamala mikubwa wa fedha za kigeni inaweza kuyumbisha mabenki hivyo ni moto usioweza kuhimiliwa na mabenki ya Tanzania na kuchelewesha shughuli hizi za chapchap za minada ya madini na ununuzi au ukodishaji wa zana nzito za vifaa vizito vinavyotumika ktk uchimbaji na utafutaji.