Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Kila goti litapigwa kwa mabeberu, Hata Morales wa Bolivia alijitahidi kusimama dhidi ya hawa mwishowe alishindwa na kufurushwa.

Mikataba ya kimataifa ni migumu na inabidi kuheshimiwa na ni suala mtambuka hasa kutokana na ukosefu katika ujuzi wa kufanya kazi na uhaba wa teknolojia , bila kusahau mabenki ya Tanzania kuwa na mitaji pungufu kuweza kuhimili miamala mikubwa ktk fedha za kigeni.

Miamala mikubwa wa fedha za kigeni inaweza kuyumbisha mabenki hivyo ni moto usioweza kuhimiliwa na mabenki ya Tanzania na kuchelewesha shughuli hizi za chapchap za minada ya madini na ununuzi au ukodishaji wa zana nzito za vifaa vizito vinavyotumika ktk uchimbaji na utafutaji.
 
Kupambana na mabeberu si kazi nyepesi kama tunavyodhani. .....tulianza kwa mbwembwe tumemaliza kama sio wale tuliokinukisha na makinikia
 
Nimemsikiliza Zuhura Yanus, BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, mkataba ni mmoja tuu, ule uliosainiwa Ikulu 2019!.
Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tuu.
BBC Swahili Iache Uongo!.

NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa na ZZK, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa.
Tulisaidia kufafanua

P
Je hayo makubaliano ya 2019 yanaafya kwa ustawi wa uchumi wetu ?
Au ndio waliahidi kuchangia kampeni za ccm kama alivyosema late Big Ben alivyoingizwa chaka 2000
 
Je hayo makubaliano ya 2019 yanaafya kwa ustawi wa uchumi wetu ?
Au ndio waliahidi kuchangia kampeni za ccm kama alivyosema late Big Ben alivyoingizwa chaka 2000
Yes ni mazuri, tulikuwa tunamiliki nothing, sasa tunamiliki 16% stake!.
Tutagawana manufaa ya Kiuchumi 50/50.
That is good !.
P
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?

Hata ukisikilzia mikutano ya kampeni utagundua kuwa Lisu anafuatilia sana mambo ya sheria hivyo Mara nyingi tunapigwa kwa sababu watawala wentu hawafuatilii sana sheria labda kutokana na Kinge kimekua na misamiati mingi sana.
 
Wapi pa kuwekeza , sababu mabeberu kutaka percentage kubwa n.k Barrick ni kundi la wenye hisa wengi tofauti na Ikulu ambapo nchi nyingi za kiafrika na latin america mtu mmoja hutoa uamuzi lakini wenzetu wa nchi za kaskazini makampuni shareholders ni wengi na wanasauti mambo yaendaje.

 
Yes ni mazuri, tulikuwa tunamiliki nothing, sasa tunamiliki 16% stake!.
Tutagawana manufaa ya Kiuchumi 50/50.
That is good !.
P
Bora mkuu Paskal umekuja maana natumaini nitapata kitu hapa,kwa hyo mkuu sisi wananchi wa kawaida wa huku Runzewe,Mwendakulima,Msonga mpaka Kabagole tuamini kuwa makubaliano ni mazuri tusiwasikilizw hawa mabeberu,alafu na hili suala la kesi ikitokea ifunguliwe mahakama za nje na pia benki zitumike za nje pamoja na makinikia kuyachukua tena,hakuna shida hapo mkuu?
 
Nilisikiliza taarifa yote ya habari...na mchambuzi huyu wa Chadema...very stupid indeed...BBC wamefanya hivyo makusudi kwa kumleta anayejiita mchambuzi kutoka Chadema..ni mkakati wa kampeni za Chadema

Ni kweli kabisa, kama ilivyo kampeni za ccm za kuwaleta marais wa nchi nyingine kuja kuwaombea kura, kinyume kabisa cha sheria za kimataifa, zinazokataza nchi moja kutojiingiza kwenye siasa za nchi nyingine.
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?

Wewe uliona wapi ccm waandike mikataba kwa maslahi ya watz,migodi iliuzwa miaka hiyo kilicho baki awamu hii ni kuongopea tu kua tuna asilimia zetu
 
Nimemsikiliza Zuhura Yanus, BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, mkataba ni mmoja tuu, ule uliosainiwa Ikulu 2019!.
Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tuu.
BBC Swahili Iache Uongo!.

NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa na ZZK, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa.
Tulisaidia kufafanua
Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
P

Uko sahihi mno, je mkataba wa mwaka 2019 umeuona unasemaje, au umeambiwa na Kabudi kilichomo kwenye mkataba?
 
Hapo kwenye manufaa ya kiuchumi ya 50/50 ndipo tunahitaji ufafanuzi. Iweje tuwe na hisa ya 16% tupate manufaa ya kiuchumi ya 50/50?

Mkuu ikifika hapo inabidi iwe ni fumbo la imani. Ajabu rais na kundi lake wanataka tuwaamini bila kujua kilichomo ndani ya mkataba, yaani wanaoona tunawaamini sana mpaka mikataba iwe siri!
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?


Kwa hiyo wewe unahis ujapigwa?? Kingekua mabeberu wanakitumia ungeona hiyo habari.. ukweli ni kwamba icho ni miongoni mwa chombo ambacho kinafanya kazi kwa uweledi wa hali ya juu bila kujali ushabiki wa chama bali ni kwa maendelea ya nchi na ukweli wa mambo.. . Watanzania tuache ushabiki wa vyama sio kabila tuwe na ushabiki na taifa letu la Tanzania
 
Kwa hyo mkuu hii habari sio kweli ni mipango ya mabeberu tu?
Ukweli ni upi? Mbona mnataka kuwafanya watu Kama watoto wadogo?! Unadhani watu hawafahamu kwanini mahojiano hayo yamefanyika wakati huu wa uchaguzi ?!Na kwanini huyo Zuhura Yunus asiweze kubalance stori kwa kumleta mtu wa madini kutoka serikalini? Unadhani watu hawajui lengo la mabeberu kwa kutumia media BBC Swahili kipindi hiki? Huyo Zuhura hamnazo Kama ilivyo kwa kijana yule aliyekuwa akihojiwa na aliyejiita mchambuzi...hiyo BBC Swahili ilileta hoja hiyo ya madini kipindi hiki Cha uchaguzi makusudi..stupid BBC...That is not professionalism...
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kukataa mikataba aliyopewa na hawa mabeberu kwa kauli kwamba madini hayaozi.Barrick hawawezi kutulipa chochote cha maana,tumeibiwa tena kama kawaida yetu.
 
Back
Top Bottom