Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Watapeli sio Barrick ni Magufuli na CCM.

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune.

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili. Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe. Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi.

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na CCM.
 
Watapeli sio Barrick ni magufuli na ccm....

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune....

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili..... Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe...... Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi......

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na ccm
The power of dictatorships comes from the willing obedience of the PEOPLE they govern and if the PEOPLE can develop techniques of withholding their consent, a repressive regime will soon crumble. Happy Sabbath
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?



Wakisema mtashinda kwa kishindo inakuwa sio chombo cha mabeberu
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?


Nilisikiliza taarifa yote ya habari...na mchambuzi huyu wa Chadema...very stupid indeed...BBC wamefanya hivyo makusudi kwa kumleta anayejiita mchambuzi kutoka Chadema..ni mkakati wa kampeni za Chadema
 
Nilisikiliza taarifa yote ya habari...na mchambuzi huyu wa Chadema...very stupid indeed...BBC wamefanya hivyo makusudi kwa kumleta anayejiita mchambuzi kutoka Chadema..
Kwa hyo mkuu hii habari sio kweli ni mipango ya mabeberu tu?
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?


Bro sio BBC waseme hata wewe kwa akili zako hufikirii kwanini siku hizi mdomoni mwa jiwe halitoki neno Makinikia?
Subiri ukweli huo kumwagwa hadharani zigo atatushiwa startv
 
Nimemsikiliza Zuhura Yanus, BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, mkataba ni mmoja tuu, ule uliosainiwa Ikulu 2019!.
Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tuu.
BBC Swahili Iache Uongo!.

NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa na ZZK, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa.
Tulisaidia kufafanua
Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
P
 
Kwa hyo mkuu kabudi ametuingiza chaka kuwa tutapata 50/50 ya mgawanyo?alafu mbona vyombo vya habari vya ndani havihoji ili jambo kuwa mkataba umesainiwa ikulu,hii imekaaje kiongozi wangu?
Wakihoji wanafungiwa, huu ni wakati wa kusifu na kuabudu tu, chombo cha habari chochote kikiandika habari za upinzani lazima kufungiwe.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom