BBC Swahili: Zuchu ndio msanii bora wa East Africa 2021!

Yaani sijui hawa wasanii wanafikiriaga nini, yaani unajivunia kabisa kusema unapanga nyumba mil 3 kwa mwezi na hujajenga yako?[emoji56][emoji44]
Kupanga ni chaguo la mtu mbona Diamond pamoja na kuwa na hela nyingi na still amepanga kabla ujamkosoa mtu kwanza jua sababu ipi imemfanya apange huyo dada ndio kwanza hata ajafika hata miaka 2 kwenye industry tangu awe maarufu na kuanzia kuigiza hela ataanzaje moja kwa moja kujenga? Una jua malengo yake ni yapi Unaweza kukuta kapanga lakini anaendelea na ujenzi wa nyumba yake Tena unakuta anataka kushusha mjengo maana sio nyumba imradi nyumba tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu kila mtu hapa duniani ana mipango yake anayoijua yeye
 
Yaani sijui hawa wasanii wanafikiriaga nini, yaani unajivunia kabisa kusema unapanga nyumba mil 3 kwa mwezi na hujajenga yako?[emoji56][emoji44]
Sijui dar vijana wake wanakula nini
m vijana kibao wanaanga hizo nyumba zenye hiyo price.. kama wa 2million ndio wa kumwaga sijui wanaokota wapi pesa
 
Ila hizi bei zao za kodi za kusadikika mh? 😎 ivi ni hela za kitanzania au za Zimbabwe.
 
Diamond anayo yakwake Madale
 
Hao bbc swahili wamempa zawadi gani au wanamsifia tu
 
Nimeangalia kwenye tv sahivi eti kamzawadia Meneja wake gari, halafu katika kushukuru Meneja anasema alikuja na lift hapo kwenye birthday yake yaani anamaanisha hakuwa na gari[emoji56][emoji56], maisha ya wasanii bwana kilakitu sanaa. Inawezekanaje msanii anaingiza mpunga mrefu kiasi cha kupanga nyumba ya mil 3 kwa mwezi halafu Meneja wake wa muda mrefu ambaye ameanza naye Safari ya muziki akose hata kapasso kakuzugia mjini?
 
Hivi niucelebrity ndiyo unafanya wawe na maisha ya kuigiza mtu anapanga nyumba kwa bei ya juu mbona hiyo hela angeweza nunua nyumba yake kabisa ujinga tu
 
Diamond anayo yakwake Madale
Nyumba anayoishi sasa hivi ya mbezi amepanga kwanini ujiulizi ameacha kule madale nakuamua kupanga kwa mujibu wake mwenyewe amesema ili awe karibu na ofisi yake.So hapo unapata kujua kila mtu ana mipango yake mwenyewe basi mwacheni nae Zuchu aishi anavyotaka yeye
 
Hivi niucelebrity ndiyo unafanya wawe na maisha ya kuigiza mtu anapanga nyumba kwa bei ya juu mbona hiyo hela angeweza nunua nyumba yake kabisa ujinga tu
Wewe umejuaje kwamba ajengi?huyo dada ana muda mchache Sana tangu aanze kupata hela nyingi hata miaka 2 ya industry ya mziki ajafikisha ulitegemea tu moja kwa moja awe ana nyumba ya kwake? Hivi kwanini wabongo mnapenda kupangia wenzenu maisha
 
Sema hawa jamaa huwa wanatupanga 44M maana ake hata kama ni masaki au posta nayo ni apartment ya kibabe tena ya 3 en suite bedrooms, maana ake ana kipato si chini ya 200M kwa mwaka[emoji23][emoji23][emoji119]
Kulipa kodi 3M per month sio lazima uwe na kipato cha 200M per year.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…