Kwani mmelazimishwa kuwa omba omba?Hilo la kujitegemea ndio lengo la kila taifa duniani. Hata familia, baba ukiwa ni mtu wa kuonewa huruma na kusaidiwa huwa inauma sana na kila wakati unatamani uilishe familia yako mwenyewe, huo ndio uanaume.
Btw, kwa beberu hakuna kitu 'msaada', akikupa chochote ni lazima ukilipie kwa namna nyingine × 7. Na hapo ndipo kiini cha umaskini wa mataifa mengi kilipo.
Wanasema wenyewe. No free lunch!
Return Of Undertaker,
Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana.
MATAGA point za msingi kama hizi hata hawazijui!
Huna akili ya kumwelewa mleta hoja.
Yaani kwa siasa hizi....km ni UGONJWA mwilini basi ni upungufu wa kinga...Siasa za kibongo hatari sana, yaan mtu amechukia kabisa nchi yake kuingia low mid income 😃
Ninazo sifa za kuwa kiongozi kwa kuwa si mlevi wa kupindukia mpaka kuvunja mguu!Eti na wewe ni kiongozi wa UVCCM.
Hasara zake ni KUJITEGEMEA?!!!Return Of Undertaker,
Tuliwaambia mapema mnashangilia tumeingia uchumi wa kati,je mnajua hasara zake?
Magufuli Bora tu aongezewe muda mwingine baada ya 2025...Kwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Pia soma
- Nini maana ya Tanzania kutangazwa kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati (MIC) na Benki ya Dunia?
- News Alert: - Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati
Nchi yetu ni tajiri kweli kweli, tutajitegemea wenyewe tuna madini, tuna vivutio vya utalii, tuna watu makini
Mbona kenya wanapata?Kwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Pia soma
- Nini maana ya Tanzania kutangazwa kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati (MIC) na Benki ya Dunia?
- News Alert: - Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati
Ndivyo ulivyosoma au ndivyo ulivyoelewa?Kwahiyo unashauri tupambane kurudi daraja la chini ili tuendelee kusaidiwa?
yote uko sahihi ila kuongezewa muda Magu hapana mkuu pliz acha mawazo ya kichawi kama hayo! acha kuwaza kibinafsiM
Magufuli Bora tu aongezewe muda mwingine baada ya 2025...
KWA NINI BASI
Kwa sababu taifa letu limekuwa na walimu wengi tu ila kwa bahati nzuri tumempata MWALIMU wa kipekee....NI wa kipekee hebu tusimung'unye maneno....
MAGUFULI NI MWALIMU WA KIPEKEE KWA WATANZANIA.....
Mwalimu huyu hatumii nadharia tu Kama walimu wengi tuliowahi kuwa nao na ambao tunao katika femili zetu,MITAA yetu,wilayani,mikoani,bungeni, katika wizara,majeshini,mahospitalini n.k
MWALIMU huyu kila mara anatukumbusha KIVITENDO kuwa tujitambue....tufanye kazi.....HATUNA WAJOMBA HUKO NJE....
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
Tumechagua sifa za muda mfupi badala ya uhalisia wa mambo.Kwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Pia soma
- Nini maana ya Tanzania kutangazwa kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati (MIC) na Benki ya Dunia?
- News Alert: - Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati
Hao niwale waliozoea kuwa omba ombaSiasa za kibongo hatari sana, yaan mtu amechukia kabisa nchi yake kuingia low mid income 😃
Sawa na ss tutabadiri masharit ya wao kuwekeza kwetu na kufanya biashara kwetu ili tuendane nao. Kwaiyo wambie nao wajipangeKwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Pia soma
- Nini maana ya Tanzania kutangazwa kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati (MIC) na Benki ya Dunia?
- News Alert: - Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati
Kwa hiyo hao BBC walitaka tusiingie kwenye uchumi wa kati au?Kwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Pia soma
- Nini maana ya Tanzania kutangazwa kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati (MIC) na Benki ya Dunia?
- News Alert: - Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati