M
Magufuli Bora tu aongezewe muda mwingine baada ya 2025...
KWA NINI BASI
Kwa sababu taifa letu limekuwa na walimu wengi tu ila kwa bahati nzuri tumempata MWALIMU wa kipekee....NI wa kipekee hebu tusimung'unye maneno....
MAGUFULI NI MWALIMU WA KIPEKEE KWA WATANZANIA.....
Mwalimu huyu hatumii nadharia tu Kama walimu wengi tuliowahi kuwa nao na ambao tunao katika femili zetu,MITAA yetu,wilayani,mikoani,bungeni, katika wizara,majeshini,mahospitalini n.k
MWALIMU huyu kila mara anatukumbusha KIVITENDO kuwa tujitambue....tufanye kazi.....HATUNA WAJOMBA HUKO NJE....
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE
HATUNA WAJOMBA HUKO NJE