BBC: Urusi imeipa Korea Kaskazini mapipa milioni moja ya mafuta

BBC: Urusi imeipa Korea Kaskazini mapipa milioni moja ya mafuta

Mbona hao uingereza, ufaransa walipewa msaada na bado walichapika?? US hakumsaidia Urusi tu aliwasaidia wote waliokua wanapambana na Hitler ila Urusi tu ndo alieweza kumtuliza Hitler
Kwaiyo akili yako yakutuma Urusi ingeshinda vita ya Hiteler bila ya US na magharibi? Urusi wenyewe ndio waliomba msaada ili kumshinda Hitler kabla kipindi icho hawajakuwa mahasimu, nenda kasome history utajifunza
 
Kwaiyo akili yako yakutuma Urusi ingeshinda vita ya Hiteler bila ya US na magharibi? Urusi wenyewe ndio waliomba msaada ili kumshinda Hitler kabla kipindi icho hawajakuwa mahasimu, nenda kasome history utajifunza
Na hao wamagharibi wasingeshinda hio vita bila mrusi,,,,,wangetumia hio misaada yao wenyewe washinde, mbona walishachezea kichapo sana hadi jeshi la urusi lilipowasaidia wasitawaliwe na Hilter,,,,,yani ilikua mrusi angepigwa basi ulimwengu wa wamagharibi wote ungetawaliwa na Hitler,,,,kwahio mrusi kawasaidia sana kuliko wao walivyomsaidia urusi
 
Awa BBC kwanza tunataka warepot kuusu Netanyahu kutakiwa kukamatwa popote alipo. Hii habari ya hana lkn adi leo wameichunia kuna Uzayuni mulendani sio kwa kimyaichi.
Unadhani ikitangazwa ndo atakamatwa? Si mara ya kwanza hizi hbr zimeshatangazwa several times. Netanyau hajali so hilo halimshtui hata
 
Na hao wamagharibi wasingeshinda hio vita bila mrusi,,,,,wangetumia hio misaada yao wenyewe washinde, mbona walishachezea kichapo sana hadi jeshi la urusi lilipowasaidia wasitawaliwe na Hilter,,,,,yani ilikua mrusi angepigwa basi ulimwengu wa wamagharibi wote ungetawaliwa na Hitler,,,,kwahio mrusi kawasaidia sana kuliko wao walivyomsaidia urusi
Urusi ilishashindwa vita vya Hitler yeye ndo alikuwa anapigana, hao US na majirani walikuja baada mrusi kushindwa Hitler ndio akaenda na maji
 
Urusi ilishashindwa vita vya Hitler yeye ndo alikuwa anapigana, hao US na majirani walikuja baada mrusi kushindwa Hitler ndio akaenda na maji
images (1).png

Na bado mrusi ndo aliewainua
 
Ni mwendo wa kula uliwe

View attachment 3158412

Urusi inakadiriwa kuipatia Korea Kaskazini zaidi ya mapipa milioni moja ya mafuta tangu Machi mwaka huu, kulingana na uchambuzi wa picha za satelaiti kutoka kwa Open Source Centre, kikundi cha utafiti kisicho cha faida chenye makao yake makuu nchini Uingereza.

Mafuta hayo ni malipo ya silaha na wanajeshi Pyongyang wameituma Moscow kuendeleza vita vyake nchini Ukraine, wataalam wakuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David Lammy, wameiambia BBC.
Uhamisho huu unakiuka vikwazo vya Umoja wa Mataifa, ambavyo vinapiga marufuku nchi kuuza mafuta kwa Korea Kaskazini, isipokuwa kwa kiwango kidogo, katika jaribio la kukandamiza uchumi wake ili kuizuia kuendeleza silaha za nyuklia.

Picha za satelaiti, zilizoshirikiwa pekee na BBC, zinaonyesha zaidi ya meli kumi na mbili tofauti za mafuta za Korea Kaskazini zikiwasili kwenye kituo cha mafuta Mashariki ya Mbali nchini Urusi jumla ya mara 43 katika kipindi cha miezi minane iliyopita.

Picha zaidi, zilizochukuliwa za meli hizo baharini, zinaonekana kuonyesha meli hizo zikiwasili zikiwa tupu, na kuondoka zikiwa zimekaribia kujaa.

Korea Kaskazini ndio nchi pekee duniani ambayo hairuhusiwi kununua mafuta kwenye soko la wazi. Idadi ya mapipa ya petroli iliyosafishwa inaweza kupokea inapunguzwa na Umoja wa Mataifa kuwa 500,000 kila mwaka , chini ya kiwango kinachohitajika.
Sio tena Tani za chakula sasa hivi.
Baadae watapelekewa marobota ya nguo.
 
Back
Top Bottom