Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi wana maisha mazuri Ulaya nzima, wana vyakula tele kwa kifupi zile Basic needs wwanazo tele, angalia mfumuko wa Bei Uingereza kwa sasaInaanzaga Kama utani, baada ya muda putin ataanza kupambana na uasi ndani ya urusi.
Ujinga, Ulaya na hao NATO nani anataka vita na Urusi? Usidhani ni vita ya kurushiana risasi jwa kifupi ni vita ya kubadilishana Nucler,wala vifaru havitakuwa na kazi kuleMoja ya sifa kubwa ya mtu hatari nikutojibu mashambuliz. Kiufupi Russian anajitekenya sana ila Europe na USA wanasubiri avuke red line. Dunia iyone might power zao. Na sio siri mama mkanye mwanao Putin hana muda hatutamsikia tena just keep silence. CIA wameshajuwa ujinga anaufanya na vile wata neutralize silence [emoji850]
Wakati Patriots zinakula kichapo Ukraine, waliitengeneza wakenya si ndio.Hiv kwanin Russia hatest mitambo yake kwa USA??!!
We jana ni mshamba sana,unajifanya unaijua Urusi sana.Moja ya sifa kubwa ya mtu hatari nikutojibu mashambuliz. Kiufupi Russian anajitekenya sana ila Europe na USA wanasubiri avuke red line. Dunia iyone might power zao. Na sio siri mama mkanye mwanao Putin hana muda hatutamsikia tena just keep silence. CIA wameshajuwa ujinga anaufanya na vile wata neutralize silence 🤐
Western Europe walishavuka uko miaka mingi sana maisha ya kula ukavimbiwa ndio unaona una maisha mazuri.Urusi wana maisha mazuri Ulaya nzima, wana vyakula tele kwa kifupi zile Basic needs wwanazo tele, angalia mfumuko wa Bei Uingereza kwa sasa
Lini marekani alishambulia moja kwa moja RUSSIA [emoji635] hata kwa bahati mbaya tuAnaogopa itabaki mikwala tuu ya mdomoni lakini hawezi kushambulia moja kwa moja marekani
Mshahara mdogo unaolipwa RUSSIA [emoji635] unaweza kukidhi mahitaji yako yote ambayo huwezi kuyakidhi ukiwa namshahara mkubwa huko UK [emoji636] au USWestern Europe walishavuka uko miaka mingi sana maisha ya kula ukavimbiwa ndio unaona una maisha mazuri.
Mfumuko wa bei bado haujafanya GDP ya Russia kuwa kubwa kuzidi ya UK, wala haujafanya basic salary ya UK kuzidiwa na ya Russia wala GDP per capita kuwa ndogo dhidi ya Russia.
Vipimo vya maisha mazuri vinajulikana, Urusi ina maisha mabovu kulinganisha na Western Europe. Ina cases nyingi za HIV/AIDS, road accidents, ulevi, ina life expectancy ndogo, emigration kubwa, mishahara ya chini, stagnant population, rushwa na ubadhirifu, na characteristics nyingine mbaya.
Atabakia na mikwara tu ila hawezi.Muda haujafika.
Putin yupi?Moja ya sifa kubwa ya mtu hatari nikutojibu mashambuliz. Kiufupi Russian anajitekenya sana ila Europe na USA wanasubiri avuke red line. Dunia iyone might power zao. Na sio siri mama mkanye mwanao Putin hana muda hatutamsikia tena just keep silence. CIA wameshajuwa ujinga anaufanya na vile wata neutralize silence 🤐