ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Wakuu mnachanganya sana mambo msikaze vichwa 😁😁😁,,
Hapo criteria ni budget ya jeshi lenu,vifaa vya kijeshi na size ya jeshi ndo zimetumika ku rank ..
Inawezekana kbsa tuko vizuri kwenye mbinu za kimedani na uwezo wa kimapigano na wenzetu wanatuheshimu kwa hilo ndo maana wanaleta wanafunzi wao hapa
Hapo criteria ni budget ya jeshi lenu,vifaa vya kijeshi na size ya jeshi ndo zimetumika ku rank ..
Inawezekana kbsa tuko vizuri kwenye mbinu za kimedani na uwezo wa kimapigano na wenzetu wanatuheshimu kwa hilo ndo maana wanaleta wanafunzi wao hapa
Nashangaa Kuna watu wanalishusha jeshi letu