kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Nionavyo mimi tatizo kubwa la Kenya ni ukabila. Lengo kuu la BBI Bill ni kupunguza ukabila Kenya kwa kumfanya Rais wa nchi asiwe lazima awe Mkikuyu au aungwe mkono na wakikuyu. BBI inaelekea huko.
Si ajabu mwaka 2022 kwa mara ya kwanza mjaluo akawa rais wa kenya.
Si ajabu mwaka 2022 kwa mara ya kwanza mjaluo akawa rais wa kenya.