NDABANINGI SITHOLE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 529
- 530
Nani alikuambia kuwa kiswahili ni lugha ya kiarabu wewe,? Au dish limetikisika?Anadharau sana lugha za Kiafrika. Anaiita hiyo kwamba ni ukabila kufunza watoto wetu lugha za kiasili. Anadhali Kiswahili lugha cha mwarabu kwamba ndio lugha ya Kiafrika.