Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Ni mdogo wake na Polepole wa CCM na kwa Sasa Ni mmoja wa wamiliki wa Sport pesa.
Wanamuongelea nini kuwa wazi
Wanasema amenunua hisa nyingi Kule Safari com, Yaani kwa Sasa ndio atakua major shareholder.Wanamuongelea nini kuwa wazi
Kwanini hukuwauliza ili upate jibu halafu utujuze?Ndo nataka kujua kinaga ubaga
Ni kijana mtanashati ambaye mafanikio yake yanawafanya vijana wavivu wavivu wasojitambua wampe majina ya hovyoLeo nimepta sehem nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima
Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]
Vipi ushaanzakukojozwa au bado maana ulituambia 10 yes hujawai kukojozwaLeo nimepta sehem nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima
Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]
Ni mtaalam wa masuala ya habari duniani akiwakilisha TZLeo nimepta sehem nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima
Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]
Kwanini hujawauliza hao kina juma lukole ulipowakuta wanamuongelea?
Ukisikia mtu anasema fulani anatafunwa ujue na yeye ni mshirika.Hivi na juma na kwisa ni wale wanaoitwa hawana makuu?