Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapi nduruuuuuuh.Ni Moyo wa Baba G.
mahaba niuwee uniponde ponde kama nyanya.
Wewe ndio umesikia watu wanamuongelea halafu unakuja kutuuliza sisi kwanini wanamuongelea hivyo ulivyosikia na huku hatujui umesikia nini[emoji15][emoji15]
Ngoja waje kukupa muongozo...
Una tabia za kike umeshindwa nini kuwauliza hao walio kua wanaongea !?
Ndiyo nani hapo daslamu?
Noma sana mkuu umelala kwenye basi kisha unapitishwa kituo cha Mpalange....Ni hatari sana.Kwanini mzee
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]jibu murua kabisa mkuuKwanini hujawauliza hao kina juma lukole ulipowakuta wanamuongelea?
Unamaanisha ana hisa Tigo ya jazwa ujazweNgoja Ni mshauri kuhusu hisa zake za tigo auze TU maana hazina faida Zaid ya stress hapo baadae
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app