Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #61
Ni Mtanzania pekee anayemiliki Aljazeera
Kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mtanzania pekee anayemiliki Aljazeera
Unamaanisha ana hisa Tigo ya jazwa ujazwe
Ni mmiliki mwenza wa Microsoft.
Ushaambiwa ni mtangazaji wa E FM unataka nini?
Nasikia hata huyu 👉 dimpoz kwa pozAnatafunwa
wewe kama una connection ya huyo jamaa iweke hapa, acha kuzunguka mbuyu.Leo nimepata sehemu nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima
Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]
mchicha mwiba.Huyo ni wale wanaume wanaoitwa wasio na makuu
mtanashati wako na rolemode wako ana tabia hizi...[emoji116][emoji116][emoji116]Ni kijana mtanashati ambaye mafanikio yake yanawafanya vijana wavivu wavivu wasojitambua wampe majina ya hovyo
Wote ni walewale wanafukuliwa kwa mpalangeNasikia hata huyu 👉 dimpoz kwa pozw