Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Mkuu tuna mtu Japan next time unakuja hapa unaomba ushauri kabla ya kuagiza hiki kisima cha busara ingawa wahuni wapo humu pia ungeunganishwa kule angeikagua kabla ya kuja usingejuta ka unavyojuta sasa.
Nasikia mandinga huko ni bei chee sana mnadani ni kweli au ?
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Tafuta boya mkubwa zaidi yako umbambikie akafe nalo mbele.
 
Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
Duh mkuu kweli umetoboka sana
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.

Ni bora uende kwenye showrooms zetu za hapa Bongo itafute gari na ujiridhishe km ilizotenbea kama ni sawa uchukue.

Hayo makampuni kama ya Befoward, SBT siku hizi magari mengi wanayoyauza yako kwa Third Party. Kabla ya kulipia omba upewe condition report ujiridhishe na hali ya gari kabla ya kulipia. Ndio maana wanakupa DEPOSIT INVOICE kwa SBT ama INVOICE kwa Befoward na ukisoma masharti yaliyoandikwa kwenye hizo Invoice unaweza ogopa kulinunua gari. Ukopata gari nzuri ni bahati na ukipata gati lenye matatizo inakuwa bahati mbaya.

Magari kama yapo kwenye Stock yao watakupa COMMERCIAL INVOICE na hayo magari yanakuws kwenye hali nzuri.
 
Suala sio bei, hizo zote ni gari zipo kwenye kampuni ya Be forward. Singapore ni tawi la Beforward na wale ni wao wenyewe. Hata pesa nillipa kupitia account ya Be forward Japan. Na kama gari wameona ina shida kwanini hawakuandika kwenye statement yao au kwenye mawasiliano niliyodanya nao watu wa Japan???
Walikupa invoice imeandikwa INVOICE ama COMMERCIAL INVOICE?

Kama imeandikwa INVOICE ilo gari haliko kwao, lipo kwa THIRD PARTY na magari hayo unaweza ukayaona kwenye website zaidi ya moja yaani Befoward, SBT nk.
 
Customer care ya Be foward ni ya hovyo mnoo
 
Wote wahuni.

SBT kwa magari yapo kwa Third Party omba invoice, utaona gari ni ya grade gani, kama 1, 2, 3 hachana nalo.
Angalau kuanzia grade 4.

Kwa magari yapo kwenye Stock yao watakupa condition report.
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Ungeomba ushauri kabla ya kwenda front na kuagiza kupitia be forward.
 
Wakuu natumai mu wazima!

Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.

Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.

Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.

Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.

Asanteni wakuu.
Unanunuwa gari zinazongoja kwenda scrap yard huko Japan halafu unakuja kulalamika? Ujinga huo.

Usinunuwe gari yenye zaidi ya miaka mitano ni ugonjwa wa moyo tu.
 
Naona hujaupenda ukweli, wenzenu Kenya siku nyingi walipiga marufuku gari chini ya miaka mitano kuingizwa Kenya, labda liwe la kuingia na kutoka tu.
Watanzania wangapi wana uwezo wa kununua gari za chini ya miaka mifano? Au unataka kufurahisha kijiwe mkuu? Hebu anagalia Vitz ya 2019 bei na ushuru wake na useme wangapi wataona heri kununua hiyo.
Gari ya miaka 10 kama imetunzwa vizuri haina shida kabisa. Na ndio maana kuna grading ya gari za mtumba bila kujali mwaka wake
 
Back
Top Bottom