msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Nasikia mandinga huko ni bei chee sana mnadani ni kweli au ?Mkuu tuna mtu Japan next time unakuja hapa unaomba ushauri kabla ya kuagiza hiki kisima cha busara ingawa wahuni wapo humu pia ungeunganishwa kule angeikagua kabla ya kuja usingejuta ka unavyojuta sasa.
Nikweli haswa wanazoleta befoward since 2019. Gari nyingi mbovu. Ndio maana IST DM leo inagharama kubwa sawa na IST EBNasikia mandinga huko ni bei chee sana mnadani ni kweli au ?
Tafuta boya mkubwa zaidi yako umbambikie akafe nalo mbele.Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Duh mkuu kweli umetoboka sanaGari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpya lakini wapi.!
Inategemea ya mwaka upi,kuna model kama 4 za alphardHii Sasa chai. Alphard 26m kabla ya ushuru? Una mañana ukijumlisha na ushuru unataka kusema ulilipa over 40m?
Tunajua magari Boss!
Dont buy Kia na usinunue Singapore....utalia.Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Magari ya Singapore mengi yamechoka na kuchakachuliwa.Ilikuwa Singapore Mkuu ila kupitia ofisi yao ya Japan na Tanzania.
Usiagize gari toka Singapore, achana na magari toka Singapore.Wewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Walikupa invoice imeandikwa INVOICE ama COMMERCIAL INVOICE?Suala sio bei, hizo zote ni gari zipo kwenye kampuni ya Be forward. Singapore ni tawi la Beforward na wale ni wao wenyewe. Hata pesa nillipa kupitia account ya Be forward Japan. Na kama gari wameona ina shida kwanini hawakuandika kwenye statement yao au kwenye mawasiliano niliyodanya nao watu wa Japan???
Hao ni kama Kaka na Dada tu!
Jiridhishe km zilizopo kwenye dashboard na kwenye mfumo wa ukaguzi mtandaoni zinaelekea kufanana la sivyo utauziwa gari limetembea km 170,000 wenyewe wamerudisha nyuma unasoma 56,000kmNaomba ushauri wa kununua gari showroom mkoa wa Mwanza
Ungeomba ushauri kabla ya kwenda front na kuagiza kupitia be forward.Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Kumbe siku hizi Kuna customer service be forward? Mimi nilihisi wale wamama wanaajiuza?Customer care ya Be foward ni ya hovyo mnoo
Unanunuwa gari zinazongoja kwenda scrap yard huko Japan halafu unakuja kulalamika? Ujinga huo.Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Wewe kizee naye unaongeaga kama umekatwa kichwaUnanunuwa gari zinazongoja kwenda scrap yard huko Japan halafu unakuja kulalamika? Ujinga huo.
Usinunuwe gari yenye zaidi ya miaka mitano ni ugonjwa wa moyo tu.
Naona hujaupenda ukweli, wenzenu Kenya siku nyingi walipiga marufuku gari chini ya miaka mitano kuingizwa Kenya, labda liwe la kuingia na kutoka tu.Wewe kizee naye unaongeaga kama umekatwa kichwa
Watanzania wangapi wana uwezo wa kununua gari za chini ya miaka mifano? Au unataka kufurahisha kijiwe mkuu? Hebu anagalia Vitz ya 2019 bei na ushuru wake na useme wangapi wataona heri kununua hiyo.Naona hujaupenda ukweli, wenzenu Kenya siku nyingi walipiga marufuku gari chini ya miaka mitano kuingizwa Kenya, labda liwe la kuingia na kutoka tu.