Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

Karibuni telegram group la Mazda CX-5 ili upate maarifa na uelewa juu kutoka Kwa wamiliki wa hapa bongo
 
FUNDI WAO MKUU ANAITWA MASSAWE AKANISHTUA BR JITAHIDI UKIAGIZA GARI TAFUTA KWINGINE HAWA MENGI MIMBA AISEE
 
Nilienda show rm mwaka flan nkanunua premio kufika nkaona wnahaha njokesho kesho mwisho nshalipia nkatonywa n gari ya dk moja maarufu aisee kwahio njoo kesho walikuwa wanabadilisha .....sinahamu
 
Ndioo michezoo ya sasaaa

We unahisi walee wahuni wanakwambia wananunua gari za zamani wanakupa moya unaongezea kidogo hela wanakata scraper woii

Naijuahiii

Mbaya 2010 nilikuwa na noah nikambiwa imeharibika kitu flan niko garage karibu na show room za sayansi weweeeeee

Jamaa akasema br hii Dukani sh kadhaa nikaseme na mafundi wanatoa kwenye gari wanatupa nzima wanafunga hii...nkaitaa jamaa yangu akaingalia akatest. N fundi wa ofisi akasema ya kubadili akaenda duka wakamtajia bei

Akashauri nichukue wakabadilisha aisee niliondoka nawaza sana anaekwenda kununua hiio gari anisamehetu

Nkakumbuka kumbe hata mkifwatana na noah wawili na unawaachia gari uje chukua badaee wanaweza kubadillisha spare wakakuadhibu

Toka sikuhio nashinda nao garage

Akaanza kunikacha nikipiga anasema br nikona magari 4 labda kesho woi nkaachana nae...
 
Pdidy uandishi wako khaa!
 
Hii ilikuwa Alphard Kali sana.
 
Mkuu nadhani Ni jukumu lao kunipa hizo documents ili kulinda integrity yao. Ndahani Mimi nitajuaje kama zinahitajika?? Wamenitia hasara sana. Nimepata pia na wadau wengine wanalalamikia same thing
Ila jaribu pia kubadilisha na hilo jina ''Papatu Papatu''

Ona sasa umeenda umenunua papatu paptu.
 
Nashukuru mkuu, nitatfuta SBT na TCV nione option zake. Je hao wana ofisi hapa TZ?? Maana Be forward wapo Kariakoo na Posta na baadhi ya mikoa, ila huduma zao ni mbaya sana. Inasikitisha

Kaka ukiwa unafanya uwekezaji wa pesa nying hivyo kwa nn usitenge na mda wa ziada kufanya research

Wabongo tunapenda kujifunza kwa maumivu sana

Mimi Nikiagiza gari natumia mwez mzima kuichunguza hiyo model na changamoto zake dunian.. ili
Kujua model Ya mwaka Upi ina uafadhali au kama changamoto zake zinatibika

Kisha naingia kwenye utaratibu wa kujua jinsi ya kupata gari nzuri.. japan ukiwa Umetulia na kutenga mda utapata gari nzuri kuna sites ziko kwa ajili ya kuverify status za magari . unalipia pesa kdg unawapa chasis namba.. wanakupa mkeka wote wa hiyo gar kuanzia mmilik wa kwanza hadi ilipowekwa sokon.. wao hawauzi magari ila wanauza taarifa za ukaguzi wa gar yoyote.. maana ni lazima gar zote za japan zikaguliwe

So ukiona gar kwa wanaouza we chukua chasis namba angalia mkeka wake.. nishafanyaga hivyo na always napata. Chuma nayoitaka

Kuna mtu alitaka xtrail ya model za 2009- 2013. Nikamfanyia reseach nikamwambia kwa
Bajet yako (20m) ongeza mbili au 3. Chukua honda au outlander..za
Miaka hiyo maana bi ngumu na imara na bado hazikuqa na mateknolojia
Kichomi.. maana hizo xtrail za mwaka huo kuanzia 80k plus ni gearbox ni majanga sababu zinatumia cvt gearbox za jatco na ziko Prone kufail kuanzia km Hizo.. na sababu gar zetu nying tunazoingiza ni 80k . Wakashauriana na mumewe wakaingiza xtrail
Kwa 18m ina mwaka Tayar ishamla 3m+ plus ..
 
Sasa ndugu, 10 million si unanunua powertrain complete (engine + gearbox) pale ilala? Na ikizingua wanakubadilishia bure?
 
Wapeleke Mahakamani Mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…