Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Acha mkuu. Hafu Kia nyingi zinakuaga LHDWewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mkuu. Hafu Kia nyingi zinakuaga LHDWewe ni mtu wa tatu kunitisha kuhusu gari za Singapore. Kuna Sorento KIA nimeipenda huko
Suala sio bei, hizo zote ni gari zipo kwenye kampuni ya Be forward. Singapore ni tawi la Beforward na wale ni wao wenyewe. Hata pesa nillipa kupitia account ya Be forward Japan. Na kama gari wameona ina shida kwanini hawakuandika kwenye statement yao au kwenye mawasiliano niliyodanya nao watu wa Japan???Utakuwa ulivutiwa na bei, sikunyingine nunua zilizo kwenye stock za japan na si vinginevyo. Hapo shida ni mnunuzi kutokuwa makini.
Duh..Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Ndio hivyo na gari ipo juu ya mawe, inaniumiza sana. Mbaya zaidi Be forward hawakutaka kunisaidia kwa lolote. Imenikatisha sana tamaa ya kutumia Be forward, na sifahamu sana mitandao mingine ambayo ni genuine ya kuagiza magariKama 26m ni kabla ya ushuru maana yake imekula kama 40m including ushuru. Pole sana
Hizi hakuomba hizi. Hapa ndio alikosea.Kama kwenye auction Sheet na condition report hukuona hilo tatizo unaweza kuwashtaki, kama hukuomba hizo dock ni uzembe wako.
Alphard Mil 26???? Na bado umeuziwaa garasaa aisee mbonaa balaaa.. Bongo naona alphard used namba D zimesimama bei mil 15 na less.. Pole sana mkuu mil 10 kutumia kwenye matengenezo sio mchezoooSuala sio bei, hizo zote ni gari zipo kwenye kampuni ya Be forward. Singapore ni tawi la Beforward na wale ni wao wenyewe. Hata pesa nillipa kupitia account ya Be forward Japan. Na kama gari wameona ina shida kwanini hawakuandika kwenye statement yao au kwenye mawasiliano niliyodanya nao watu wa Japan???
Aaha kumbe ukienda kununua Kuna doc unapewa za utangulizi kujua condition ya gari??? Lakini nadhani kampuni ingekuwa inawapa doc wateja bila kuulizwaa..Hizi hakuomba hizi. Hapa ndio alikosea.
Befoward zipo pia RHD na seat 7 ila sio Japan. Wewe mkuu unashauri nitafute ipi kwa bajeti ya 20m CIF?Acha mkuu. Hafu Kia nyingi zinakuaga LHD
Yeah. Unavyonunua wakati mna negotiate kwa email kuna documents ni vema ukaomba. Ila usipoomba wenyewe haiwahusu.Aaha kumbe ukienda kununua Kuna doc unapewa za utangulizi kujua condition ya gari??? Lakini nadhani kampuni ingekuwa inawapa doc wateja bila kuulizwaa..
Ya mwaka gani unataka? Lazima iwe 7 seaters?Befoward zipo pia RHD na seat 7 ila sio Japan. Wewe mkuu unashauri nitafute ipo kwa bajeti ya 20m before taxes
Ndio natafuta gari ya familia, iwe kuanzia 2014Ya mwaka gani unataka? Lazima iwe 7 seaters?
Duh! Pole sana aise, hiyo naona hasara kubwa kwa kweli! Ila ndiyo maisha na changamoto zake!Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Walituma ya Inspection na kila sehemu ilionyesha good condition. Hiyo ya Auction ndio siijuiYeah. Unavyonunua wakati mna negotiate kwa email kuna documents ni vema ukaomba. Ila usipoomba wenyewe haiwahusu.
Kwa izo Kia, kuanzia 2010 ni kali sana kuona mbadala ngumu.Ndio natafuta gari ya familia, iwe kuanzia 2014
Walituma ya Inspection na kila sehemu ilionyesha good condition. Hiyo ya Auction ndio siijui.Kama kwenye auction Sheet na condition report hukuona hilo tatizo unaweza kuwashtaki, kama hukuomba hizo dock ni uzembe wako.
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na tena Be Forward Tanzania ndio walifanya clearance. Sasa cha ajabu gari imefika inavuja oil, pia imepigwa rangi nyeusi kumbe Original color ilikuwa ni Nyeupe, ikabidi tena ifanyiwe service hapa Tanzania kwenye yard ya Be Forward ndio TBS wakaipitisha.
Lakini gari bado ina matatizo mengi sana ya check engine, rejeta, masega na Engine box. Nimejaribu kufuatilia Be forward Tanzania wananijibu sababu niliagiza moja kwa moja Japan na Singapore hiyo haiwahusu. Nimefuatilia ilipotoka wananizungusha bila majibu ya kueleweka. Sasa nimeishia kupaki gari sababu haina nguvu na injini inachemsha.
Naomba mnisaidie kama kuna mwenye ushauri wa nini cha kufanya.
Asanteni wakuu.
Ni ya 2014, gari haiwezi kwenda hata Kariakoo inachemsha! Naomba ushari nifanyeje na hii gari. Je Toyoto Tanzania wanaweza nisaidia, maana gereji za mitaani hii imewashindaDuh hii lazima iwe 2nd generation sfter facelift kuanzia (2012-2014), na iwe Auction Grade 4.0 kwenda juu.
Pole sana mkuu. Pesa nyingi sana.
Mitsubishi Outlander SUV 7 seaters unaizungumziaje mkuu?Kwa izo Kia, kuanzia 2010 ni kali sana kuona mbadala ngumu.
Ila kama tu family car, ungeanza kwa kujiuliza unataka minivan (mfano Alphard) au SUV (kama Harrier), hafu issue ya engine size (kwaajili ya fuel consumption) na mwisho ndio ije matumizi yako sana sana ni yapi?
Unaweza nunua gari la familia (mfano Alphard) kwaajili ya Familia kutoka out ambapo ni Jumapili kanisani, na December mnaenda Moshi na mara moja kwa mwezi kwenda beach.
So siku zingine unakua unatembea na bonge la gari kwenda na kurudi kazini peke yako, ukipambana na challenge za parking, na driving kwenye barabara zetu finyu
Naona wengi wameikubali. Coworker ana ndogo yake RVR haijawahi msumbua karibia mwaka sasaMitsubishi Outlander SUV 7 seaters unaizungumziaje mkuu?
Mkuu, unataka kupeleka Toyota Tanzania? No way.. Kwa humu JF namjua fundi mmoja mzuri sana JituMirabaMinne ungeanza nae. Kwasababu gari la kisasa 2014 lazima lifanyiwe diagnosis. Na yeye ni Master.Ni ya 2014, gari haiwezi kwenda hata Kariakoo inachemsha! Naomba ushari nifanyeje na hii gari. Je Toyoto Tanzania wanaweza nisaidia, maana gereji za mitaani hii imewashinda