Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nmeona kuna series ya harley quinn,hv ni nzur??Nikiwa mwenyewe hua naweka hii picha ya Harley Quinn, nikiwa sehemu yenye watu naitoa. Maana watu hawachelewi ku gudge mtu kwa wallpaper yako
View attachment 1361055
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua unatumia Tecno kama ulivoniambia ile siku. Kumbe ulikuwa unanifariji tuu.YEAP MKUU
iPhone sio aina ya simu ninazozipenda.Nawe unanifariji tu wakati unatumia iPhone. Mm natumia Samsung toleo la miaka kama 6 iliyopita
Pole sana, nilitumia S5 miaka ya nyuma ilikuwa ni majanga, kutembea na chaja muda wote.Ndugu acha tu ni majanga.
Muda wote nachaji tu.
Natamani nipate tecno tu
Dola 200 kwa spark au tecno canon?S7 siwezi kuimudu mkuu..hii tu imetoka mbali!
Tecno ziko poa sana..nazipenda kuliko hata Samsung
I wish nipate Tecno camon au Spark.
Ila Dolar 200 looh nazipatia wapi
Uza hiyo nunua Tecno ati.Mamii bado ni kisanga haswa hata kwa hizo pesa madafu..
Najichunga lisije nilipukia maana mmh
Pole sana, nilitumia S5 miaka ya nyuma ilikuwa ni majanga, kutembea na chaja muda wote.
Tecno nasikia wanasifika kwenye kukaa na chaji, jaribu kuhamia Tecno
Au Samsung tumia kwanzia S7.
Hiyo simu naikubali mnooo, ni moja ya simu ambazo sitakuja kuzisahau.YEAP MKUU