Beat my Phone wallpapers..

Beat my Phone wallpapers..

IMG_20200205_165355.jpg
 
Ndugu acha tu ni majanga.
Muda wote nachaji tu.
Natamani nipate tecno tu
Pole sana, nilitumia S5 miaka ya nyuma ilikuwa ni majanga, kutembea na chaja muda wote.
Tecno nasikia wanasifika kwenye kukaa na chaji, jaribu kuhamia Tecno
Au Samsung tumia kwanzia S7.
 
S7 siwezi kuimudu mkuu..hii tu imetoka mbali!
Tecno ziko poa sana..nazipenda kuliko hata Samsung
I wish nipate Tecno camon au Spark.
Ila Dolar 200 looh nazipatia wapi
Dola 200 kwa spark au tecno canon?
Hizi spark 200k Tzs unapata na chenji.
Tecno canon 12 unapata kwa 300k .
 
Infinix baba lao ninacho ki hot 5 changu cha mwaka juzi ila mwezi wa 4 inatimiza miaka 2 yani naweka chaji 100% hapo nafanya vurugu zote inakaa siku mbili
Pole sana, nilitumia S5 miaka ya nyuma ilikuwa ni majanga, kutembea na chaja muda wote.
Tecno nasikia wanasifika kwenye kukaa na chaji, jaribu kuhamia Tecno
Au Samsung tumia kwanzia S7.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom