Beatrice Mwaipaja pole sana ushuhuda wako ni mzito lakini hatimae utashinda kwani Kristo alishinda

Beatrice Mwaipaja pole sana ushuhuda wako ni mzito lakini hatimae utashinda kwani Kristo alishinda

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Moja ya shuhuda nzito za kufunga mwaka,ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja akionesha vita vikali alivyokabiliana navyo na huenda ataendelea kukabiliana navyo dhidi ya ibilisi na majeshi yake.

Vita vikali mno lakini hatimae ninamtia moyo atashinda kwa jina ya Kristo kwani yeye Kristo alishinda vita hivi.
Niliwahi kumsikiliza Rose Mhando akisimulia vita vilivyomkabili hadi Mungu kwa njia ya Kristo Yesu kumshika mkono tena lakini kisa cha huyu Beatrice kimenilazimu niandike hapa.

Natamani nimwambie kuwa ,ijapo amefunguliwa kupitia mtumishi wa Mungu ambaye amemtaja kama baba yake wa kiroho,asije akaingia kwenye mtego mwingine wa imani yake kujengwa juu ya mtumishi yeyote hapa duniani.

Imani yake aijenge juu ya mwamba imara ambaye ni Kristo Yesu pekee.

Watoto wa Mungu wengi wameingia kwenye mtego wa ibilisi kwa kujenga imani zao juu ya watu ambao Mungu amewapa neema ya huduma mbali mbali za kiroho.

Wanasahau chanzo cha msingi wa wokovu ambaye ni Kristo Yesu. Na wengi wanamfanya Kristo Yesu kama namba mbili.Ila Mungu ni Mungu mwenye wivu mkubwa na sifa na utukufu ni vyake milele na milele Amima.

Soma Yohana 8:32 imeandikwa " Tena mtaifahamu kweli,nayo hiyo kweli itawaweka huru"

Uhuru kutoka vifungo vya giza,ni kuifahamu kweli.Ukiifahamu kweli,unawekwa huru.

Mungu baba,wa Yesu Kristo azidi kujifunua kwako.Naomba watumishi wa Mungu tutumie muda wetu kumuombea huyu dada ili asinase kwenye mitego ya hila ya ibilisi ambayo Mungu akikufunulia,utaogopa sana kwa kuwa huenda watumishi unaowaamini,ukagundua ni watumishi wa giza
 
Huko kwa ground inasemekana huyo na Martha sio ndugu wa Damu,wananzengo wanaenda mbele zaidi kuwa huyo Beatrice kavunja ndoa ya Martha baada ya kumpa uroda Mume wa Martha na mpaka Leo mwamba anakili kuwa anampenda Beatrice.
 
Moja ya shuhuda nzito za kufunga mwaka,ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja akionesha vita vikali alivyokabiliana navyo na huenda ataendelea kukabiliana navyo dhidi ya ibilisi na majeshi yake.

Vita vikali mno lakini hatimae ninamtia moyo atashinda kwa jina ya Kristo kwani yeye Kristo alishinda vita hivi.
Niliwahi kumsikiliza Rose Mhando akisimulia vita vilivyomkabili hadi Mungu kwa njia ya Kristo Yesu kumshika mkono tena lakini kisa cha huyu Beatrice kimenilazimu niandike hapa.

Natamani nimwambie kuwa ,ijapo amefunguliwa kupitia mtumishi wa Mungu ambaye amemtaja kama baba yake wa kiroho,asije akaingia kwenye mtego mwingine wa imani yake kujengwa juu ya mtumishi yeyote hapa duniani.

Imani yake aijenge juu ya mwamba imara ambaye ni Kristo Yesu pekee.

Watoto wa Mungu wengi wameingia kwenye mtego wa ibilisi kwa kujenga imani zao juu ya watu ambao Mungu amewapa neema ya huduma mbali mbali za kiroho.

Wanasahau chanzo cha msingi wa wokovu ambaye ni Kristo Yesu. Na wengi wanamfanya Kristo Yesu kama namba mbili.Ila Mungu ni Mungu mwenye wivu mkubwa na sifa na utukufu ni vyake milele na milele Amima.

Soma Yohana 8:32 imeandikwa " Tena mtaifahamu kweli,nayo hiyo kweli itawaweka huru"

Uhuru kutoka vifungo vya giza,ni kuifahamu kweli.Ukiifahamu kweli,unawekwa huru.

Mungu baba,wa Yesu Kristo azidi kujifunua kwako.Naomba watumishi wa Mungu tutumie muda wetu kumuombea huyu dada ili asinase kwenye mitego ya hila ya ibilisi ambayo Mungu akikufunulia,utaogopa sana kwa kuwa huenda watumishi unaowaamini,ukagundua ni watumishi wa giza
Mungu baba,wa Yesu Kristo azidi kujifunua kwako.Naomba watumishi wa Mungu tutumie muda wetu kumuombea huyu dada ili asinase kwenye mitego ya hila ya ibilisi ambayo Mungu akikufunulia,utaogopa sana kwa kuwa huenda watumishi unaowaamini,ukagundua ni watumishi wa giza📌🔨
 
Moja ya shuhuda nzito za kufunga mwaka,ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja akionesha vita vikali alivyokabiliana navyo na huenda ataendelea kukabiliana navyo dhidi ya ibilisi na majeshi yake.

Vita vikali mno lakini hatimae ninamtia moyo atashinda kwa jina ya Kristo kwani yeye Kristo alishinda vita hivi.
Niliwahi kumsikiliza Rose Mhando akisimulia vita vilivyomkabili hadi Mungu kwa njia ya Kristo Yesu kumshika mkono tena lakini kisa cha huyu Beatrice kimenilazimu niandike hapa.

Natamani nimwambie kuwa ,ijapo amefunguliwa kupitia mtumishi wa Mungu ambaye amemtaja kama baba yake wa kiroho,asije akaingia kwenye mtego mwingine wa imani yake kujengwa juu ya mtumishi yeyote hapa duniani.

Imani yake aijenge juu ya mwamba imara ambaye ni Kristo Yesu pekee.

Watoto wa Mungu wengi wameingia kwenye mtego wa ibilisi kwa kujenga imani zao juu ya watu ambao Mungu amewapa neema ya huduma mbali mbali za kiroho.

Wanasahau chanzo cha msingi wa wokovu ambaye ni Kristo Yesu. Na wengi wanamfanya Kristo Yesu kama namba mbili.Ila Mungu ni Mungu mwenye wivu mkubwa na sifa na utukufu ni vyake milele na milele Amima.

Soma Yohana 8:32 imeandikwa " Tena mtaifahamu kweli,nayo hiyo kweli itawaweka huru"

Uhuru kutoka vifungo vya giza,ni kuifahamu kweli.Ukiifahamu kweli,unawekwa huru.

Mungu baba,wa Yesu Kristo azidi kujifunua kwako.Naomba watumishi wa Mungu tutumie muda wetu kumuombea huyu dada ili asinase kwenye mitego ya hila ya ibilisi ambayo Mungu akikufunulia,utaogopa sana kwa kuwa huenda watumishi unaowaamini,ukagundua ni watumishi wa giza
KWANI IMEKUWAJE? HII IMENIPITA
 
Lazima Kuna jambo jamani.joan inasemekana ana wazazi wake na ndugu zake wengine alizaliwa nao.na kwao ni arusha.alikuja kama housemaid Kwa Martha mwaipaja.ghafla Kawa mwanae.hakuna picha joaana kaja akiwa mdogo kwamba alikua yatima kamuasili Bali alikuja akiwa mkubwa tu.

Tetesi za wao kusagana zinaniingia akilini.pale Kuna mtu na mpenzi wake sio mtu na mamake
But kama mnawazushia mtalilipa hili
 
Lazima Kuna jambo jamani.joan inasemekana ana wazazi wake na ndugu zake wengine alizaliwa nao.na kwao ni arusha.alikuja kama housemaid Kwa Martha mwaipaja.ghafla Kawa mwanae.hakuna picha joaana kaja akiwa mdogo kwamba alikua yatima kamuasili Bali alikuja akiwa mkubwa tu.

Tetesi za wao kusagana zinaniingia akilini.pale Kuna mtu na mpenzi wake sio mtu na mamake
But kama mnawazushia mtalilipa hili

Tanzania MTU anapingiwa MAISHA na namna ya kutumia pesa zako.
 
Si ukoo unajua dada anazidi kuwa tajiri so umeamua kubweteka unamsubiria yeye alete mboga..utadhani ni vilema kumbe Wala,watu na nguvu zao.🤣🤣🤣🤣
Mtu mzima na afya yako unaanzaje kulilia pesa ya mtu mzima mwenzio?
Si ukatafute yako
Pia uzinzi huapatani na pesa hii walokole na watu wa dini wanalisahau MTU anakuwa mzinzi Sana huku akitaka kibali hauwezi kupata labda uloge sana
 
kitu ambacho sikuelewa ni hiki, anasema kuna mchungaji mmoja ambaye ni mwanamke, alikuwa kiongozi mkubwa wa TLP pale Makambako na Mbeya, huyo alikuwa na imani ya kishetani na aliwaingiza wao. ni nani huyo?

kama waliingia kwenye imani hiyo, na dadake huyo akarudi kumshukuru na kuungana na imani hiyo, alishoaondoka? nyimbo anazoimba yupo chini ya huyo mungu wake na imani potofu au alishaokoka sasa?

binafsi nawajua walivyoanza hao mabinti, hali ya umasikini wanayoisema ni kweli, alipokuwa anaanza kabisa, Martha alishawahi kuja kanisani kwetu, alikuwa mwembamba, mweusi, anayeonekana kama ametoka uwanja wa fisi fulani hivi, nguo alizovaa ilikuwa kasketi ka mtu masikini kale ka sagulasagula mitumba na ka tshirt keupe ka mtumba sidhani kama hata kufua alikuwa amefua. maana ilionekana ni kauka nikuvae. alikaribishwa akaimba wimbo wake hata kabla hajarekodi. kama ni Mungu aliwainua, kweli Mungu anajua kuinua watu (kama nimjuavyo Mungu), ila shida inakuja, imekuwaje baada ya kupata pesa tayari wanavaa nguo za kubana, anazunguka na binti anayevaa taiti chafu, na wanazunguka naye, na kuna kashfa ya usagaji ambayo yeye hataki kujitenga nayo. si afukuze huyo binti ili kuondoa matope anayorushiwa? kwani huyo binti ana nini cha ziada hadi anasafiri naye kongo na kwengine na yote yanayosema juu yake? kwa nini tusiamini, na kwanini hamsaidii mdogo wake?OK tuseme mdogo wake alimchukulia ndoa au vyovyote (though wote walikuwa na ndoa na kwa wanyakyusa kulala na shemeji ni kawaida tu), basi amkumbuke mama yake ambaye alishakuwa hadi kichaa na aliwasaidia kuwakuza kwa shida hadi wakafika hapo.
 
Back
Top Bottom